bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Mi ntashukuru tu kimyakimya na kujipa moyo na kuendelea na maisha.
mhh Carmel I once did the same ila inauma ile mbaya....!!!!
Mi ntashukuru tu kimyakimya na kujipa moyo na kuendelea na maisha.
hapo hakuna cha kujali ikiwa mlishasitisha zoezi la kutumia.....Condom huonyesha unajali ...lakini hapo loh
bado bikira?Sina la kuchangia kwani exeprience ni zero. Sijawahi kutumia condoms katika maisha yangu.