Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
kama mnataka kuumiza vichwa vyenu endeleeni kufuatilia nini kitafanyika kwa chenge.
Zigo la rushwa ya rada kichwani kwa Chenge
· Kampuni iliyouza yakiri kutumia rushwa
· Ni BAE, yatozwa faini ya dola milioni 400
· Mpira warudishwa kwa serikali ya Tanzania
Kampuni ya British Aerospace (BAE Systems) ya nchini Uingereza iliyoinyonya Tanzania kwa kuiuzia rada kwa bei kubwa kulinganisha na thamani yake halisi, imetozwa faini ya dola za Marekani milioni 400 (Sh. bilioni 535), baada ya kukiri kutumika rushwa katika ununuzi wa rada hiyo.
....
....
CHANZO: NIPASHE