Ziara ya Wassira Ulaya Imeleta Mafanikio, Avuta Kiwanda cha Matrekta Tanzania

Wasira ni kiongozi anayejituma sana tofauti na Mawaziri wengine wakienda Ulaya kutalii tu.
 
Nikiwa kama mtanzania wa kawaida sina shaka na sitokuwa na shaka na matumizi ya KODI yangu...WATU KAMA MH WASIRA TUNAWAHITAJI SANA HASA WAKATI HUU KULIKO WAKATI MWINGINE WOWOTE.
 
Mkutano wa Shirikisho la Kiuchumi Ulaya (European Economic Summit) katika mji wa Katowice Poland.
Katika mkutano wa Saba wa Shirikisho (7th European Economic Congress) unajumuisha majadiliano ya tatu ya ushirikiano wa kiuchumi wa Afrika na Ulaya ya Kati.(3rd Africa-Central Europe Economic Cooperation Forum)QUOTE=chuki;12521785]View attachment 245547View attachment 245548[/QUOTE]

E
 
ni mwanzo mzuri lakini serikali ihamasishe matajiri waliopo nchini kuwekeza kwenye vitu kama hivyo sijui ghala na mengineyo.
 
Hii habari ya Poland kutaka kujenga kiwanda cha kuunga matrekta tuliambiwa tangu mwaka juzi; ina maana hata makubaliano yalikua bado? Nadhani Watanzania tunapenda sana kupiga makelele wakati hakuna tufanyalo.
 
nielewesheni. wakileta trekta nzima zinatembea ns wakija wakaunganishia uku tofati ni nini? tunataka alete walimu wa technologia ya chuma apa tz. na walimu wa kudizaini japo majembe ya kukokotwa na ngombe. ndio technology sio kuunganisha.
 
There is no Free lunch in this world.

Hizo zote kama zitajengwa basi zitajengwa kwa mkopo. Nchi karibu zote za EU zina huo utaratibu wa kutoa mikopo ya bei nafuu na kulipa kwa muda mrefu. Nafikiri malipo yatakuwa kwenye asilimia si zaidi ya mbili ambao ni nafuu sana. Pia wakati mwingine unakuwa unaambiwa kulipa kati ya miaka 20 au 30.

Hii safari aliianza PM Pinda na sasa ni muendelezo wa kuangalia jinsi ya kupatikana kwa mkopo huo/msaada na kuanza ushirikiano. Kama mkopo huo ungelitoka Bank ya dunia au kwa akina Ruthchilds, malipo yake ni makubwa sana.

IMG-20150417-WA0036.jpg


Pichani akiwa na Waziri wa kilimo wa Poland Pan (Mr.) Mareck Sawicki

Kwani navyo waelewa wapoli Washamwita wasira kila aina ya majina ya majabu na hivyo alivyo
 
Hii aibu sana viongozi wa ccm wamekula pesa za kutosha kwenye Escrow bado tunaenda kuomba msaada nje ni aibu.
 
nielewesheni. wakileta trekta nzima zinatembea ns wakija wakaunganishia uku tofati ni nini? tunataka alete walimu wa technologia ya chuma apa tz. na walimu wa kudizaini japo majembe ya kukokotwa na ngombe. ndio technology sio kuunganisha.

Kinachosifiwa hapa ni upuuzi wa hali ya juu. Huwezi kuanza kushangilia kwa kuambiwa kuwa jamaa watafungua karakana ya kuunganisha treka. Hapa hakuna ujuzi wowote tutakaopata. Kazi ya kuunganisha trekta hata fundi wa gari ambaye anaweza kushusha engine na kuirudisha anaweza kuunganbisha hayo matrekta yenu. Lakini, kifaa chochote kikiharibika huwezi kutengeneza kipya hata kama ni kidogo namna gani, mwishoe itabidi tu uagize kutoka kwao.

Sisi kama Tanzania tunahitaji kuwa na ujuzi wa kuchimba chuma chetu kilichojaa kule Liganga-Ludewa, kukiyeyusha na kutnegeneza vifaa mbali mbali. Kama hujui hata microstructures, chemical compositions, fatigue life and all sort of mechanical properties na hauna hata wataalam wa kuhakiki siutakuwa unafurahia tu kuwa umepata trekta halafu baada ya muda yanaanza kuharibika.

Metallurgists an mechanical engineers tunao lakini Serikali haina vipaumbele vya kuendeleza viwanda na kwa chuma tulichonacho hata viwanda vya kutengeneza gari inawezekana.
 
Haya Watalamu wetu mnaohusika hapo jipangeni haraka kiwanda kilete Tija kwa haraka sio kukaa tu utekelezaji miaka 15 ijayo.
Mimi huwa nawashangaa hawa wanaojiita Maengineer mara Watalamu, aibu tupu.

Mkuu, Wataalam/Maengineer hawana tatizo hata kidogo, wenye matatizo ni wana siasa ambao kila kitu wanakichukulia kisiasa siasa tu - Mtanzania mwana siasa aliyekuwa tofauti na wenzake kimawazo na kuona mbali ni Baba wa Taifa, hakuwa binadamu wa kawaida yule! Aliheshimu sana masuala ya sayansi na teknolojia kawapeleka wanafunzi wengi Ulaya ya Mashariki na Magharibi tulikuwa na wataalamu lukuki lakini wanasiasa wakawapiga danadana na kuwakatisha tamaa - wengi wao wakatimukia nchi za nje ambako wamefanya maajabu na kuheshimika - wapo Watanzania ambao wanafanya kazi kwenye taasisi ya NASA huko Merikani nk, katika sauala hili la sayansi na Teknolojia hata Mh.JK analipa kipaumbele sana, tatizo ni utekelezaji kwa wale aliyo wapa dhamana za kusimamia nyanja hizo.
 
Mzee yupo vizuri Sana. Binafsi nimpongeze kwa juhudi anazofanya. Mungu amtie nguvu na ikiwezekana ashike sola Afande zaidi. nakuombea Wasir
we need to do more acheni kujipigia makofi Kwa usanii. kuunganisha matrector ndo nini? Miaka 60, tunatakiwa tusilale hasa siyo kutafuta misifa.
 
Kwanza waziri hajaleta kiwanda ila amenegotiate jamaa wake

Pili, kuomba Poland waje ni saw a na kuomba Gabon wake, hawajatuzidi kitu... Shame shame kwenda kuhangaika na wachovu

Tatu... Hiyo siasa, itafika October na hakuna kitu

Akiwa waziri, ameangaliaje internal capabilities and potential na kuhakikosha zinakua optimized?

Another political bigotry

Katika nchi 28 za EU, Poland ni ya 6 kwa uchumi mkubwa na Poland ni ya kwanza kwa ukuaji wa uchumi toka kuporomoka kwa ukomunisti. Kumbuka hilo.
 
Hili limekuwa na Wasira tena? nilidhani ni mwendelezo wa Ziara ya Pinda aliyofanya mwaka jana ambapo suala la matrector na maghala ilikuwa ndiyo mafanikio ya hiyo ziara. Sasa imekuwa tena mafanikio ya ziara ya Wasira? Uraisi huu tabu tupu.
 
Mpaka 70s Tanzania ilikuwa ina kiwanda cha kuunganisha matrekta, kikataifishwa kuuliwa na kufunguwa na badala yake kikajengwa kiwanda cha majembe ya mkono na Wachina (UFI).

Fikiri, tunauwa kiwanda cha matrekta tunafunguwa kiwanda cha majembe ya mkono!

Inasikitisha sana.
 
Wasira na msafara wake wa maofisa wachache imekuwa yenye tija baada ya kufanikiwa kuweka makubaliano ya Kushirikiana kati ya Tanzania na Poland kujenga kiwanda cha kuunganisha Matrekta hapa Nchini chini ya SUMA JKT

chenga tupu. serekali hii sikivu ilivokuwa na watu wavivu unategemea watashirikiana kufanya jambo la kutumia muda na akili nyingi kiasi hiko?
 
Mpaka 70s Tanzania ilikuwa ina kiwanda cha kuunganisha matrekta, kikataifishwa kuuliwa na kufunguwa na badala yake kikajengwa kiwanda cha majembe ya mkono na Wachina (UFI).

Fikiri, tunauwa kiwanda cha matrekta tunafunguwa kiwanda cha majembe ya mkono!

Inasikitisha sana.

hichi chenyewe kinataka 'ushirikiano' kati ya Poland na Tz. Je, waTZ hawa wapo tayari kufanya kazi bila 10% maana najuwa Poland watataka kufanya 'ushirikiano' kwa njia za kawaida tu.
 
Kuomba na kukubaliwa ni moja...

Kiwanda kuja kujengwa ni kitu kingine...

Mara nyingi tu tumekuwa tukisikia ahadi lakini utekelezaji wake sasa...
 
nielewesheni. wakileta trekta nzima zinatembea ns wakija wakaunganishia uku tofati ni nini? tunataka alete walimu wa technologia ya chuma apa tz. na walimu wa kudizaini japo majembe ya kukokotwa na ngombe. ndio technology sio kuunganisha.

Unadiriki kusema huoni tofauti ya kuleta matrekta mazima na kuwa na assembly line nchini!!! Huoni assembly line italeta ajira za ziada. Vivyo hivyo itapunguza gharama
 
Back
Top Bottom