Ziara ya Wassira Ulaya Imeleta Mafanikio, Avuta Kiwanda cha Matrekta Tanzania

= waliofilisi

Waliofilisi ni wale wale waliofanya maamuzi ya kijinga ya kudhulumu (taifisha) na kuwakabidhi watu wasiojuwa kuendesha viwanda.

Naam, yalianza lini? msome Ludovick Utuoh kwa majibu sahihi.

Makosa yalifanyika kwenye misingi ya utawala, njia sahihi zimechukuliwa na hiyo misingi mibovu tuliyoirithi imebomolewa na ndiyo maana hutaona Serikali ikijenga tena kiwanda cha Umma, tumeondoka huko kwenye uozo.

Ni kweli siwezi kuona Serikali ikijenga tena kiwanda cha Uma, ila nitaendelea kuona series ya wizi wa fedha za umma bila kuruma. Kwa miaka michache tu iliyopita nimeshuhudia TTCL ikiwa mahututi kwa wizi, Meremeta, Kagoda, IPTL na ESCROW. Nasubiri wizi mwingine kupitia BVR, umeme vijijini na Internet mashuleni uanikwe. Naamini nitaendelea kushuhudia na kuchukua hatua kupitia anduku la kura. Naamini kuna siku kura zitatosha, na itakuwa mwisho wa kushuhudia wizi, uvivu, ubadhirifu, uongo, majungu, uchawi, upumbavu na ujinga.

Nitaendelea kushuhudia hatua za maendeleo ya kasi huku kwa upande mwingine laana ikiendelea kuwatafuna wanaowadhulumu kipindi hiki. Wakati huo, watawala wa sasa ambao kwa kipindi hicho hawatakuwa madarakani tena, mali zao zote zitarejeshwa mikononi mwa wamiliki (umma).
 
Serekali hii ya CCM sitashangaa nikisikia wakiomba msaada wa kufanya usafi jiji la Dar.

Kujenga maghala ya kuhifadhia chakula nayo tunaomba msaada Ulaya? Nchi ya ajabu kabisa hii!
 
  • Thanks
Reactions: rpg
Ni kweli siwezi kuona Serikali ikijenga tena kiwanda cha Uma, ila nitaendelea kuona series ya wizi wa fedha za umma bila kuruma. Kwa miaka michache tu iliyopita nimeshuhudia TTCL ikiwa mahututi kwa wizi, Meremeta, Kagoda, IPTL na ESCROW. Nasubiri wizi mwingine kupitia BVR, umeme vijijini na Internet mashuleni uanikwe. Naamini nitaendelea kushuhudia na kuchukua hatua kupitia anduku la kura. Naamini kuna siku kura zitatosha, na itakuwa mwisho wa kushuhudia wizi, uvivu, ubadhirifu, uongo, majungu, uchawi, upumbavu na ujinga.

Nitaendelea kushuhudia hatua za maendeleo ya kasi huku kwa upande mwingine laana ikiendelea kuwatafuna wanaowadhulumu kipindi hiki. Wakati huo, watawala wa sasa ambao kwa kipindi hicho hawatakuwa madarakani tena, mali zao zote zitarejeshwa mikononi mwa wamiliki (umma).

Na utaendelea kuona list of shame PCCB ikikuwa. Jambo ambalo halijawahi kuwepo Tanzania hii. Ilichukuwa miaka 45 kuitia Tanzania hayo maradhi sitegemei kuwa yangeondoka kwa miaka 10 ya Kikwete. Kikwete alikuwa na kazi kubwa sana, kwanza kubomoa misingi mibovu kisha kujenga misingi mipya yenye ubora.

Ugonjwa huingia kiurahisi lakini kuutoa ni kazi.

Tunashukuru Kikwete kabomoa misingi mibovu iliyowekwa kuanzia awamu ya kwanza na ikamwagiwa maji na awamu ya pili na ikashamiri awamu ya tatu.

Kikwete kafanya kazi kubwa sana kuibomoa na kuweka misingi mipya mizuri, sasa kazi ni kwetu kuiendeleza.
 
Na utaendelea kuona list of shame PCCB ikikuwa. Jambo amablo halijawahi kuwepo Tanzania hii. Ilichukuwa miaka 45 kuitia Tanzania hayo maradhi sitegemei kuwa yangeondoka kwa miaka 10 ya Kikwete. Kikwete alikuwa na kazi kubwa sana, kwanza kubomoa misingi mibovu kisha kujenga misingi mipya yenye ubora.

Ugonjwa huingia kiurahisi lakini kuutoa ni kazi.

Tunashukuru Kikwete kabomoa misingi mibovu iliyowekwa kuanzia awamu ya kwanza na ikamwagiwa maji na awamu ya pili na ikashamiri awamu ya tatu.

Kikwete kafanya kazi kubwa sna kuibomoa na kuweka misingi mipya mizuri, sasa kazi ni kwetu kuiendeleza.

Kamahaya yote uyasemayo yangekuwa ni kweli, basi angesaidia kuweka msukumo kwa vyombo husika ili kutangazwa kwa majina ya watu waliopokea fedha za escrow kupitia Stanbic. Lakini sitashangaa kwa kuwa hata yeye alisema fedha hizi ni za umma, or else Mmwache huru nyoka wa makengeza basi!
 
Kamahaya yote uyasemayo yangekuwa ni kweli, basi angesaidia kuweka msukumo kwa vyombo husika ili kutangazwa kwa majina ya watu waliopokea fedha za escrow kupitia Stanbic. Lakini sitashangaa kwa kuwa hata yeye alisema fedha hizi ni za umma, or else Mmwache huru nyoka wa makengeza basi!

Onesha moja ambalo si kweli katika niliyoyaandika, usirukie kubadili mada na kuipeleka escrow.

Kuhusu escrow kuna nyuzi nzima niliiweka, fata link: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ya-kamati-ya-pac-kuhusu-sakata-la-escrow.html
 
Kikwete alishalisemea la escrow, waliopokea fedha kutoka kwa Ruge wanajulikana.

Escrow ni upuuzi tu na ni siasa majitaka hakuna cha maana, Habinder ni lazima ilikuwa alipwe, mlitaka umeme wa bure?

Kama ni kesi zipo mahakamani.

Kesi zipo mahakama ipi?
 
Safi saana ......Mzee Wassira.sasa tutakuwa na viwanda viwili pamoja na kile cha Kibaha cha kutengeneza magari cha SCANIA.ukipata barabarani kama uankwenda chalinze unakiona.Hongera Mh.Waziri
 
By the way ....tupeni updates ya zile POWERTILLERS bado zipo au zimekuwa chuma chakavu
 
Na utaendelea kuona list of shame PCCB ikikuwa. Jambo amablo halijawahi kuwepo Tanzania hii. Ilichukuwa miaka 45 kuitia Tanzania hayo maradhi sitegemei kuwa yangeondoka kwa miaka 10 ya Kikwete. Kikwete alikuwa na kazi kubwa sana, kwanza kubomoa misingi mibovu kisha kujenga misingi mipya yenye ubora.

Ugonjwa huingia kiurahisi lakini kuutoa ni kazi.

Tunashukuru Kikwete kabomoa misingi mibovu iliyowekwa kuanzia awamu ya kwanza na ikamwagiwa maji na awamu ya pili na ikashamiri awamu ya tatu.

Kikwete kafanya kazi kubwa sna kuibomoa na kuweka misingi mipya mizuri, sasa kazi ni kwetu kuiendeleza.
Nimependa michango yako hapa jukwaani, uko vizuri.
 
= waliofilisi

Waliofilisi ni wale wale waliofanya maamuzi ya kijinga ya kudhulumu (taifisha) na kuwakabidhi watu wasiojuwa kuendesha viwanda.

Naam, yalianza lini? msome Ludovick Utuoh kwa majibu sahihi.

Makosa yalifanyika kwenye misingi ya utawala, njia sahihi zimechukuliwa na hiyo misingi mibovu tuliyoirithi imebomolewa na ndiyo maana hutaona Serikali ikijenga tena kiwanda cha Umma, tumeondoka huko kwenye uozo.
Naungana na wewe my sweetheart kwamba tractor assembling factory ni mwanzo mzuri kuimarisha sekta ya viwanda nchini na hivyo kutengeneza ajira pamoja na kukuza pato la ndani.Kupitia hiyo tractor assemblies factory kama Tanzania itakuwa serious tutaweza kuifufua General Tyre ya Arusha ili iweze kupata tenda ya kuiuzia matairi hii factory na hivyo kutengeneza ajira huko Arusha. Miaka michache ijayo Liganga itaweza kuiuzia bidhaa zitokanazo na chuma Tractor Assembling factory so mzunguko wa kibiashara utaendelea kukua.
 
Naungana na wewe my sweetheart kwamba tractor assembling factory ni mwanzo mzuri kuimarisha sekta ya viwanda nchini na hivyo kutengeneza ajira pamoja na kukuza pato la ndani.Kupitia hiyo tractor assemblies factory kama Tanzania itakuwa serious tutaweza kuifufua General Tyre ya Arusha ili iweze kupata tenda ya kuiuzia matairi hii factory na hivyo kutengeneza ajira huko Arusha. Miaka michache ijayo Liganga itaweza kuiuzia bidhaa zitokanazo na chuma Tractor Assembling factory so mzunguko wa kibiashara utaendelea kukua.
I like watu kama wewe wanaowaza nje ya box, One thing can lead into Multi-ply effects to contribute on the domestic economy.
Idea kama za Wasira zinatakiwa zifanywe na Vijana, ajabu hao vijana ndio wamekalia kuwakaba Wazungu posta na kuwapora Elfu 75.
 
Naungana na wewe my sweetheart kwamba tractor assembling factory ni mwanzo mzuri kuimarisha sekta ya viwanda nchini na hivyo kutengeneza ajira pamoja na kukuza pato la ndani.Kupitia hiyo tractor assemblies factory kama Tanzania itakuwa serious tutaweza kuifufua General Tyre ya Arusha ili iweze kupata tenda ya kuiuzia matairi hii factory na hivyo kutengeneza ajira huko Arusha. Miaka michache ijayo Liganga itaweza kuiuzia bidhaa zitokanazo na chuma Tractor Assembling factory so mzunguko wa kibiashara utaendelea kukua.

Your sweetheart tena? makubwa haya wala si madogo.

General Tyre kwanini ifufuliwe? wauziwe au wapewe bure wawekezaji wao wataifufuwa.
 
Kujenga maghala ya kuhifadhia chakula nayo tunaomba msaada Ulaya? Nchi ya ajabu kabisa hii!

Usifikiri maghala uliozoea
haya ni rofauti ni kituma tank kubwaa au kwa lugha rahis ni vihenge vya kisasa
 
Hatuwezi kufufuwa General Tire...mashine zile zimepitwa na wakati na ni hatari kwa afya ya binadamu.Tuliofanya kazi pale tunazijuwa....labda mashine mpya zinunuliwe.Mtanzania wa sasa hivi hawezi kujenga tairi 21 za Scania kwenye shift ya masaa nane kwa kutumia hizi mashine.Ni bora kwenda stendi kupiga debe au kuendesha daladala
 
I like watu kama wewe wanaowaza nje ya box, One thing can lead into Multi-ply effects to contribute on the domestic economy.
Idea kama za Wasira zinatakiwa zifanywe na Vijana, ajabu hao vijana ndio wamekalia kuwakaba Wazungu posta na kuwapora Elfu 75.

Unayoyasema ni kweli, lakini vipi kuhusu kuomba msaada wa kujenga maghala? Kwa maana nyingine tunataka wawekezaji kutoka nje kujenga maghala hapa kwetu.

Msipoangalia CCM watapangisha hadi viwanja vya makabuli ili mvilipie wakati wa kuzika!
 
Your sweetheart tena? makubwa haya wala si madogo.

General Tyre kwanini ifufuliwe? wauziwe au wapewe bure wawekezaji wao wataifufuwa.

Serikali ya CCM ina le profesor wengi tu, kwa nini washindwe ku implement hizi plan za sweetheart wako aka TECNOLOGIA!
 
Watanzania tunapenda kujisifia ujinga tu

Hizi ni cheap and dangerous propaganda.Fufua kiwanda cha matractor kilikuwepo Valmet !Kuomba omba si solution,hiyo Poland nayo ipo chini.Hizi ngonjera ni za enzi ya Uhuru.Ni naamini alofuata sio priority ya Wizara ya Kilimo.
 
Back
Top Bottom