Al shabab
Member
- May 21, 2011
- 71
- 6
zembwela muda huu ninapoandika hii post yupo east africa radio akiwaponda wabunge wa chadema,akisema labda akina lisu wamekulia ktk mazingira magumu,sasa mbona huyu zembwela jamani hata hafanani na lisu,zembwela kama ana kitu anachomzidi lisu ni umaskini na ujinga,jiangalie wewe zuzu.jina lenyewe tu laonyesha wewe hamna kitu ktk head.