Zembwela zuzu

Jamani msipende kujadili kila mtu, yaani hata Zembwela!!? Huenda alikuwa anaandaa kipindi cha vichekesho!
 
huyo mjinga hakuna hata haja ya kumzungumzia. Ila kama huwa anaingia humu jf, tunamwambia aache kutumia radio kuongelea mambo asiyoyaelewa na kutangaza ujinga!
hivi???? Radio nowadays wanatunia vigezo gani kuajiri presenters??? Kuna wasanii km h.kopa,bi chau ,zembela ,yule bi mkubwa wa times na ect!!!! Hiviii??? Kaz wameisomea au wamo humo redion bila uelewa wa aina yoyote ya utangazaji,hivi wamiliki hawaon tofaut? Nachukia anzia saut ya zembwela na kuendele peace of shit!!!@@@
 
sasa aseme nini na wabunge wa cdm wahuni? Mtu mwenye akili timamu hawezi kuunga mkono walichokifanya labda na wewe unafanana na wana ccm wa mwenyekiti lakini wasomi tunaagalia unachokifanya ni sahihi kwa wakati uliopo..sio kujifanya cdm damudamu.
unaniuzi kwenye neno hilo haya niambie wewe msomi wa wapi na umefanya nini kuisaidia nchi yako! Au wewe ndo wakwanza kusoma kwenu pumbavu zako na magamba yako!
 
Wewe ndio zuzu maana unatuandikia ili tufanye nini?<br />
Tulie?<br />
Mpigie simu kwenye redio yake na mwambie hivyo huko huko.
<br />
<br />
Nilipoandika nilijuwa kuna mazuzu yenye mtindio wa ubongo kama yeye yataungana naye so sishangai kuona kweli umekuja kuungana na kaka yako mliozaliwa kwa mama tofauti ila baba yenu mmoja.
 
Na imagine demokrasia chini ya serikali ya CDM, maana kuipinga ni wendawazimu.
 
zembwela mpuuzi tu anapiga kelele kukamilisha cku mkono uende kinywani,kwanza kazi ni kuchekesha so hata hayo maneno yake ni vichekesho tu ka huy jamaa mwenye bible,ka umeona wamekosea toa hoja za msingi si kuponda,jamaa hata mie nime msikia bogas kweli.
 
<br />
<br />
Nilipoandika nilijuwa kuna mazuzu yenye mtindio wa ubongo kama yeye yataungana naye so sishangai kuona kweli umekuja kuungana na kaka yako mliozaliwa kwa mama tofauti ila baba yenu mmoja.
Tumeshazoea watu wenye akili ndogo kututukana.
Hilo ndilo wanaloliweza vema.
Hawana hata uwezo wa kujua kuwa hilo haliwaongezei point au mantiki ya mabishano yenyewe.
Hapo ni pole tu
 
Sasa aseme nini na Wabunge wa CDM wahuni? mtu mwenye akili timamu hawezi kuunga mkono walichokifanya labda na wewe unafanana na wana CCM wa mwenyekiti lakini WAsomi tunaagalia Unachokifanya ni sahihi kwa wakati uliopo..Sio kujifanya CDM damudamu.
Kumbe wewe msomi eeh!
 
Kwa nini JF Members wanataharuki ukiizungumzia CDM jamani? JF for Chadema?
<br />
<br />
watu wanahitaji ukombozi, kikwazo cha aina yoyote kitashambuliwa kwa nguvu, wananchi wameichoka ccm. nikwambie ccm inafanana na fisi, kokote atakapopita watu watamzomea (fisi huyo, fisi uyo, huyoo, huyoo! eee, fisi, fisiii mpaka atokomee)
 
Tumsamehe tu bure maana inaelekea anapuliza jani ndo anaengia kazini bila jani ni kama gar bila mafuta
 
[<br />
QUOTE=Kanigini;2289683]Kwa nini JF Members wanataharuki ukiizungumzia CDM jamani? JF for Chadema?[/QUOTE]&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Zungumzia habari za m.k.were uone cha moto ndio utajua maana ya taharuki. Au ongelea habari ya shule za makanisa vs za kata watu wakutoe roho!
 
Zembwela masikini hakipata ****** ulia @?!€:-q ndo huyu jamaa na msauti wake mbaya kama inatoka kwenye miamba
 
Elimu ni muhimu sana baibo inasema wazi usiache elimu aende zake sasa hivi kila alieshindwa kuendelea mbele anakimbilia kutangaza na kusomea uandishi wa habari kama sio ualimu..sasa huyu popompo alidakwa na kibosile fulan akamhadi kumpa kazi kila siku ni lazima awachane wpinzan na si mara ya kwanza lakini msilaumu sana si mnakumbuka alikuwa anashea na yule ndugu yetu kwenye mizigo aliefariki so amuwezi jua kale kananiino kameanza kuchavua kwenye brain kanaanza kumsumbua
mungu amsamehe
 
Hakuna mtu ***** kama huyo Zembwela.......Jina lake halisi ni Hilary.....Kasoma shule ya Secondary Nuru Lyakin Tandika Mwembe Yanga kapata Div. 4 leo hii wakuja kutoa matusi hayo!!!!!. Mwendawazimu huyo asikuumize kichwa katumwa tu na mabwana zake..........Mwache akatike viuno kwenye TV tu ajue kuna Uzee baadae sura ikikomaa hatouza sura kamwe.
 
zembwela muda huu ninapoandika hii post yupo east africa radio akiwaponda wabunge wa chadema,akisema labda akina lisu wamekulia ktk mazingira magumu,sasa mbona huyu zembwela jamani hata hafanani na lisu,zembwela kama ana kitu anachomzidi lisu ni umaskini na ujinga,jiangalie wewe zuzu.jina lenyewe tu laonyesha wewe hamna kitu ktk head.

zembwela ni mwanamaigizo tu. amevamia fani ya utangazaji ina wenyewe. anakurupuka tu. mkakati wake ni kuwa kama kibonde maana ni model wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom