huyo naye ni pro chadema?Pro-CDM-JF,wanafurahishana yaani kila mtu mtaani akipingana na hoja za CDM mnakuja kumshtaki humu JF, inashangaza kwa kweli, mitume wa Mungu wenyewe walikuwa wanapigwa sembuse CDM
hivi???? Radio nowadays wanatunia vigezo gani kuajiri presenters??? Kuna wasanii km h.kopa,bi chau ,zembela ,yule bi mkubwa wa times na ect!!!! Hiviii??? Kaz wameisomea au wamo humo redion bila uelewa wa aina yoyote ya utangazaji,hivi wamiliki hawaon tofaut? Nachukia anzia saut ya zembwela na kuendele peace of shit!!!@@@huyo mjinga hakuna hata haja ya kumzungumzia. Ila kama huwa anaingia humu jf, tunamwambia aache kutumia radio kuongelea mambo asiyoyaelewa na kutangaza ujinga!
unaniuzi kwenye neno hilo haya niambie wewe msomi wa wapi na umefanya nini kuisaidia nchi yako! Au wewe ndo wakwanza kusoma kwenu pumbavu zako na magamba yako!sasa aseme nini na wabunge wa cdm wahuni? Mtu mwenye akili timamu hawezi kuunga mkono walichokifanya labda na wewe unafanana na wana ccm wa mwenyekiti lakini wasomi tunaagalia unachokifanya ni sahihi kwa wakati uliopo..sio kujifanya cdm damudamu.
<br />Huyo mjinga hakuna hata haja ya kumzungumzia. Ila kama huwa anaingia humu JF, tunamwambia aache kutumia radio kuongelea mambo asiyoyaelewa na kutangaza ujinga!
<br />Wewe ndio zuzu maana unatuandikia ili tufanye nini?<br />
Tulie?<br />
Mpigie simu kwenye redio yake na mwambie hivyo huko huko.
Tumeshazoea watu wenye akili ndogo kututukana.<br />
<br />
Nilipoandika nilijuwa kuna mazuzu yenye mtindio wa ubongo kama yeye yataungana naye so sishangai kuona kweli umekuja kuungana na kaka yako mliozaliwa kwa mama tofauti ila baba yenu mmoja.
Kumbe wewe msomi eeh!Sasa aseme nini na Wabunge wa CDM wahuni? mtu mwenye akili timamu hawezi kuunga mkono walichokifanya labda na wewe unafanana na wana CCM wa mwenyekiti lakini WAsomi tunaagalia Unachokifanya ni sahihi kwa wakati uliopo..Sio kujifanya CDM damudamu.
<br />Kwa nini JF Members wanataharuki ukiizungumzia CDM jamani? JF for Chadema?
<br />Who is zembwela anyway
<br />Huyu Zembwela si ni yule mwenye kesi ya kumbaka house girl wake!!?
zembwela muda huu ninapoandika hii post yupo east africa radio akiwaponda wabunge wa chadema,akisema labda akina lisu wamekulia ktk mazingira magumu,sasa mbona huyu zembwela jamani hata hafanani na lisu,zembwela kama ana kitu anachomzidi lisu ni umaskini na ujinga,jiangalie wewe zuzu.jina lenyewe tu laonyesha wewe hamna kitu ktk head.