yeah! kwa upande wangu tangu kipindi cha mikasi kianze Zembwela ndio amenikonga,ana mifano hai japo aliweka u comedian ndani ili kutuburudisha yaani hata kipindi kingekuwa cha masaa mawili kisingechosha big up kijana
Hallow, nilikuwa napenda sana utangazaji wake Mr Baruti katika kile kipindi cha Supermix, alikuwa anamfunika vibaya sana huyu Mr Zembwela
Ila siku hizi Baruti hasikiki tena EAradio, sijui kafuma wapi "greener pasture"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.