matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Nakubaliana na wewe,
Zembwela toka tulipomchana hapa jf kuwa elimu ni ndogo
naona amepiga piga kitabu sana, hivyo kwa sasa mambo yake ni mswano kabisa,
hongera sana dogo zembwela.
kuna yule dogo wakumuita Baruti ana akili sana...amemshepu Zembwela mpaka sasa akiongea unasikia logic ndani yake..sina uhakika sana na shule zao ila Baruti ukimsikiliza hauitaji kuuliza kama kaenda shule.