Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
Habari wakuu!
Baada ya JK kwenda kwenye ziara nchini Oman, alitunukiwa zawadi ya upanga wa kivita kama ishara ya kuimarisha uhusiano baina ya nchi hizi Mbili ktk maswala ya uchumi.
But in real sense zawadi hiyo haina maana halisi juu ya kile kilichosemwa kwamba ni ishara ya kujenga uhusiano, Pia imezidi kuacha maswali mengi kwa majority of christians kwamba huenda ni maandalizi ya the so called "kuendeleza dini kwa ncha ya upanga"
Nasema haya kwa sababu leo hii nimepita katika makanisa zaidi ya 5 na hii ndo imekuwa habari ya mjini na watu wakihamasishwa kufanya maombi juu ya hili swala.
My outlook!
Nahitaji kwa anayejua juu ya ukweli halisi juu ya zawadi ya upanga so as to make it clear.
Hii mbegu ya udini sijui itawatoka vp tuu!!!! Yaaani mpak mtu anadiriki kusema uongo basi tu kuweka mazingira ya udini.... How come wewe mtu mmoja upite kwenye makanisa zaidi ya Matano na yote katika muda wa Ibada na wawe wanaongelea same issue???? Au ni wewe ndo ulikua unaeneza kwa uliokutana nao??? Grow up C*ck sucker...!!!