warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,380
Wakati baadhi ya mastaa wakubwa nchini, wakionyesha support kubwa kwa mwanamuziki diamond platnumz, juu ya ujio wake mpya kwenye wimbo uitwao "SALOME", hali imekua tofauti kwa mastaa wakubwa nchini, ZARI the boss lady pamoja na muigizaji LULU Michael.
Inasemekana watu wengi walikua wanategemea support kubwa kutoka kwa mzazi mwenzie na mwanamuziki huyo(zari) ambapo imekua kawaida ya mwanana huyo ku support kila kazi mpya ya mpenzi wake huyo, mpaka hivi sasa ninavyo type mwana mama huyo hajaongelea chochote juu ya video hyo mpya ambayo imekua habari ya mujini,
hata hivyo inasemekana huko nyuma zilivuma tetesi kuwa diamond platnumz anavunja amri ya sita na video queen maarufu nchini, HAMISA MOBETO ambaye pia ameshiriki kwenye video ya wimbo huo kama "SALOME" huenda tetesi hizo zikawa chanzo cha mwanamama huyo kuikacha video hyo.
Pia kwa muigizaji Elizabeth Michael "LULU" hali imekua tofauti ambapo yeye amekua karibu na msanii huyo pamoja na ku support kazi zake nyingi, ikiwemo ile ya "NANA" ambapo alitoa ushirikiano wa kutosha alipost video akiwa anacheza wimbo huo kwa madoido na mbwembwe zote, ambapo video hyo ilisambaa kwenye mitando mbali mbali ya kijamii, na kuzidi kuipa promo wimbo huo.
Inasemekena uwepo wa HAMISA MOBETO kwenye video hyo inaweza kuwa sababu ya msanii kuikacha video hyo na kuipotezea, Lulu aliwahi kuingia kwenye bifu zito na model maarufu nchini, hamisa mobeto, ambaye pia ameshiriki kwenye wimbo huo kama video queen, hivyo ilikua ngumu kwa msanii hyo kupost video ya adui yake huyo, pia Lulu haelewani na TUNDA ambaye na yeye ameonyesha umahiri wake kwenye video hyo, hizo ndo baadhi ya sababu zilizopelekea muigizaji huyo kumkacha SALOME.
Inasemekana watu wengi walikua wanategemea support kubwa kutoka kwa mzazi mwenzie na mwanamuziki huyo(zari) ambapo imekua kawaida ya mwanana huyo ku support kila kazi mpya ya mpenzi wake huyo, mpaka hivi sasa ninavyo type mwana mama huyo hajaongelea chochote juu ya video hyo mpya ambayo imekua habari ya mujini,
hata hivyo inasemekana huko nyuma zilivuma tetesi kuwa diamond platnumz anavunja amri ya sita na video queen maarufu nchini, HAMISA MOBETO ambaye pia ameshiriki kwenye video ya wimbo huo kama "SALOME" huenda tetesi hizo zikawa chanzo cha mwanamama huyo kuikacha video hyo.
Pia kwa muigizaji Elizabeth Michael "LULU" hali imekua tofauti ambapo yeye amekua karibu na msanii huyo pamoja na ku support kazi zake nyingi, ikiwemo ile ya "NANA" ambapo alitoa ushirikiano wa kutosha alipost video akiwa anacheza wimbo huo kwa madoido na mbwembwe zote, ambapo video hyo ilisambaa kwenye mitando mbali mbali ya kijamii, na kuzidi kuipa promo wimbo huo.
Inasemekena uwepo wa HAMISA MOBETO kwenye video hyo inaweza kuwa sababu ya msanii kuikacha video hyo na kuipotezea, Lulu aliwahi kuingia kwenye bifu zito na model maarufu nchini, hamisa mobeto, ambaye pia ameshiriki kwenye wimbo huo kama video queen, hivyo ilikua ngumu kwa msanii hyo kupost video ya adui yake huyo, pia Lulu haelewani na TUNDA ambaye na yeye ameonyesha umahiri wake kwenye video hyo, hizo ndo baadhi ya sababu zilizopelekea muigizaji huyo kumkacha SALOME.