Zanzibar wapeleka barua UN kuvunja Muungano

Dhambi ya ubaguzi aliyosema Julius hiyoooo, sasa hivi watagundua kwamba hakuna wazanzibari, maana si alisema ni kama kula nyama ya mtu, ukiionja huachi.... mmh babu nae alijuaje haya mambo ya nyama za watu lakini!!!!!!!!!!!!!!!!?
Ubaguzi ni ile kuunda muungano unaoua upande mmoja wa muungano na kubakiza upende wa pili, Hata mwendawazimu kwa hili ataelewa. Iko siku.
 
Ubaguzi ni ile kuunda muungano unaoua upande mmoja wa muungano na kubakiza upende wa pili, Hata mwendawazimu kwa hili ataelewa. Iko siku.

KAKA Freddrick Muungano hauuwi sehemu moja tu .Unaua sehemu zote ikiwa kuna unafiki ndani yake
 
Maandamano ni njia tu ya kuonyesha kutokuridhishwa na jambo. Mweledi anafanya upembuzi yakinifu wa tatizo, anatafuta njia sahihi ya kulitatua. Sio kupiga mayowe, kunyanyua mabango barabarani.
 
Hebu waambieni waache tamaa na upuuzi. Mnaowabeza wazanzibari kuwa wakijitenga watahamia bara mnajua kuwa ukanda wa pwani wa Tanzania na Kenya hadi Msumbiji ni eneo la zanzibar? Kenya wana mgogoro na wakenya waliopo ukanda wa pwana wanataka kujitenga na kurudi Zanzibar. Tanzania hakuna evidence kuwa eneo waliloazimwa wajerumani na sultani wamelinunua kihalali (10 Kilometer wide coastal strip from Tanga - Mozambique). Je wazanzibar wakiamua kudai eneo lao mtalitoa? Kuweni Great Thinker ni kuwaomba waache mpango wao kwani sasa hakuna mzanzibari tumechanganyika mno baina ya sisi watanganyika na wazanzibari .
hapo ndipo wazenji wanapokosea.Wao hudhani kuwa BARA tunawaitaji sana,tunawahusudu kumbe tunawaona wa kawaida tu.
hapa tunaongelea maeneo aliyotawala Sultani kuwa ndiyo Zanzibar???
HAOMBWI MTU HAPA TENE WAONDOKE ZAO HATA KESHO WAKABAKI KUENDESHA SIASA ZAO VISASI ZISIZO NA MASHIKO
 
hii SUK inawazingua sana wanajiona booooooooooora wengingine wote ni mapoyoyo tu !!!!!!!!!

kama wana hoja za msingi kwanini wasizilete mezani

hoja za msingi ??? wewe kama nani uletwe hoja za msingi ? Zanzibar wanadai nchi yao . Hii ni haki yao.
 
Si umeme lakini hata haya makanisa njooni myachukue na pia wamachinga wauza njugu

..ni kukosa akili ya kufanya tafakari ya kina ndio kunawafanya wazanzibar wseme muungano hauna faida, lkn ukweli uko wazi, Mwl alifanya muungano hasa kwa kuzingatia ukweli kwamba maisha ni ARDHI ili wazanzibar wawe na access ya kuja huku kuishi, hivi visiwa ni vdogo sana haviwatoshi in long term basis.. hata wakijitegemea wasitarajie ustawi wa maisha tofauti na wa sasa, kwani wao wana tofauti gani na comoro..hao comoro si hata nyama inatoka huku..ni ujinga tu wa kutokusumbua akili kufikiri! waarabu ni UNCIVILIZED people, wajiulize kwa nini wasomali wengi wanatake risk kwenda s. africa na nchi zingine za mbali badala ya kwenda oman au saudi arabia.. ni vile waarabu ni wabaguzi! matarajio ya wazanzibari eti watapewa misaada na waarabu ni ndoto za mwendawazimu!!!!
 
.. lkn ukweli uko wazi, Mwl alifanya muungano hasa kwa kuzingatia ukweli kwamba maisha ni ARDHI ili wazanzibar wawe na access ya kuja huku kuishi, hivi visiwa ni vdogo sana haviwatoshi in long term basis..
Kwa hiyo Nyerere alifanya hisani tu kugawa ardhi ya nchi ili Wazanzibar wapate ardhi? It does not make one sense. No one has put forth a coherent defense of the union and its reason for being in existence in this day and age. Not one. Mwisho wa siku Zanzibar ni mzigo mzito kwa Tanganyika.

Tanzania, ka nchi masikini ka kuambiwa inama upate misaada, kana marais watano! Rais Iddi, Rais Kikwete, Rais Seif, Rais Billal, Rais Shein. Gharama kubwa! Zanzibar ni ndogo kuliko Newala na Nachingwea, ina wabunge 75 Dodoma, gharama kubwa! Kahama kama wilaya ina uchumi mkubwa kuliko Zanzibar kama nchi, utasemaje unaungana nao tuwe sawa?

Lakini msumari wa moto kuliko yote, mimi siruhusiwi kisheria kumiliki ardhi Zanzibar. HOW COME? WHY THE EFF? Muungano gani huu ambao sheria inanikataza kuhamia Zanzibar? Na uvunjwe!

 
yeah lets wait and see Chakula watatoa wapi and other important necessities, Ubinafsi utawamaliza indeed
 
yeah lets wait and see Chakula watatoa wapi and other important necessities, Ubinafsi utawamaliza indeed

Chakula mnatoa bure? Kabla ya muungano Zanzibar walikua wananunua chakula kutoka wapi? After all, chakula kikuu Zanzibar ni Mchele na sio sembe...
 
Itakuwa ni vema wakijitenga kwani ss tunapata nn toka kwao economically? sana sana tunawabeba, yani kwenye bunge la muungano karibu robo ni wabunge toka zanzibar ambao wanawakilisha watu wasiozidi 2 mil, wakati huo huo ss tuko zaidi ya 40 mil inakuwaje tufanyiwe maamuzi na watu wachache tu? isitoshe wabunge wengi wa zanzibar siyo vichwa hiyo wanakula tu kodi zetu kupitia posho how comes? in the contrary hakuna mwakilishi toka bara kwenye baraza lao its shame....naomba hata leo muungano wa aina hii ufe...tuungane kama EAC au EU!
 
mimi cjaona umuhim wa huu muungano zaidi yakuwasaidia ccm kujipatia kura ambazo madhara yake tunayapata sisi
 
My take, hapa kinachotafutwa ni 'rubber stamp' tu, kwa hali ilivyo hivi sasa tunaweza tukaita kuwa tunao muungano kweli!
 
Back
Top Bottom