Zanzibar wapeleka barua UN kuvunja Muungano

You never know what you have until you lose it.


Mwaka 1977, Kenya walifurahi sana kuvunja Jumuia ya Afrika ya Mashariki (EAC) na kukamata ndege nyingi nzuri zilizokuwa mali ya Jumuia hiyo; leo hii Kenya hao hao ndio walio mbele sana katika kudai jumuia hiyo hadi kufikia kuilaumua Tanzania kuwa hatuna uharaka wa kuanzisha jumuia hiyo tena. Time will tell. Zanzibar wataulilia Muungano huu kwa saudti kubwa sana, tena katika muda mfupi mno iwapo utavunjika. Time will tell

Hamna lolote ... Nchi yenu (Tanganyika) imewashinda . Sasa mnalazimisha na Zanzibar vilie vile washindwe. Muungano huu ni kuambukizana umasikini, ufisadi na ukatili. Jikomboeni kiuchumi kwanza, baadae muanze kuhubiri Muungano. Msiwe mnatumiwa kirahisi kwa maslahi ya wachache wanaoendela kuihujumu Tz.
 
Hao wanaharakati wapo mbele ya wanasiasa. Hata viongozi wakuu wa zanzibar hawautaki muungano huu. Tujiulize, baada ya hao jamaa kwenda un kudai zenji yao, rais wa zanzibar kasema nini juu yao? Hao jamaa wanatumwa tu. Serikali yote ya zanzibar haiutaki muungano huu japo wanataka kuendelea kupata utamu binafsi kutokana muungano.
 
kama wao ndo wameamua hivyo hakuna tabu waende kwa amani
now this is an answer from great thinker.. wengine porojo tupu....!! reputation ya jf inashuka siki zikizidi kwenda .... jibu lako ni zuri user name yako ipo mahala pake...
 
kama wao ndo wameamua hivyo hakuna tabu waende kwa amani
now this is an answer from great thinker.. wengine porojo tupu....!! reputation ya jf inashuka siki zikizidi kwenda .... jibu lako ni zuri user name yako ipo mahala pake...
 
Dah nawaombea kila la heri na Mola awatangulie ili kilio chao cha kuvunja hili limuungano feki lifanikiwe. Inshaallah
 
... Sasa kwanini si Watanganyika tusiwasikilize Wazanzibari badala ya kuwabeza?!
Kwa sababu hatuwahitaji, ni mzigo.

Kahama kama wilaya ina uchumi mkubwa kuliko Zanzibar kama nchi. Wa nini hawa wavivu wa vibarazani?
 
Hebu waambieni waache tamaa na upuuzi. Mnaowabeza wazanzibari kuwa wakijitenga watahamia bara mnajua kuwa ukanda wa pwani wa Tanzania na Kenya hadi Msumbiji ni eneo la zanzibar? Kenya wana mgogoro na wakenya waliopo ukanda wa pwana wanataka kujitenga na kurudi Zanzibar. Tanzania hakuna evidence kuwa eneo waliloazimwa wajerumani na sultani wamelinunua kihalali (10 Kilometer wide coastal strip from Tanga - Mozambique). Je wazanzibar wakiamua kudai eneo lao mtalitoa? Kuweni Great Thinker ni kuwaomba waache mpango wao kwani sasa hakuna mzanzibari tumechanganyika mno baina ya sisi watanganyika na wazanzibari .
Wewe unakumbuka zaidi wajerumani kuazimwa eneo na sultan, mbona hujiulizi kuwa Sultan alipata wapi mamlaka ya kuazimisha eneo wakati yeye ni mwarabu na eneo ni la waafrika. Au unataka kutuaminisha kuwa Sultan yeye ndo alimiliki eneo hilo kihalali. Kwa taarifa tu acha wazanzibar wajitenge hakuna shida yoyote tutapata. wazenji watageuka Rwanda nyingine kati ya waunguja na wapemba.
 
mbona miaka yote hiyo zaid ya 40 walikuwa wamelala-wafanye haraka ili ikiwezekana mwaka huu wajitoe-hawana faida yoyote ile-ni mzigo tuliojibebesha ambao hautusaidii kwa lolote-wakwende zao huko

Ni kweli, waende zao ili walao kelele za malalamiko zipungue.
 
quote_icon.png
By Mdondoaji

Hebu waambieni waache tamaa na upuuzi. Mnaowabeza wazanzibari kuwa wakijitenga watahamia bara mnajua kuwa ukanda wa pwani wa Tanzania na Kenya hadi Msumbiji ni eneo la zanzibar? Kenya wana mgogoro na wakenya waliopo ukanda wa pwana wanataka kujitenga na kurudi Zanzibar. Tanzania hakuna evidence kuwa eneo waliloazimwa wajerumani na sultani wamelinunua kihalali (10 Kilometer wide coastal strip from Tanga - Mozambique). Je wazanzibar wakiamua kudai eneo lao mtalitoa? Kuweni Great Thinker ni kuwaomba waache mpango wao kwani sasa hakuna mzanzibari tumechanganyika mno baina ya sisi watanganyika na wazanzibari .

Mdondoaji hebu acha upotoshaji hilo eneo unalosema kwenye red kwa hapa tanzania Sultani alishalipwa hela yake na wakoloni wa kijerumani na akala (kumbukumbu za kuonesha hayo zipo) na sio eneo la Zanzibar tena jaribu kujishughulisha kusoma utagundua hilo. Nasikitika sana kwa upotoshaji unaojaribu kuuweka hapa.


GERMAN EAST AFRICA Timeline

1884November 4Karl Peters, Joachim Graf von Pfeil and Doctor Juhlke, agents of the Deutsch Kolonialgeschellschaft (German Colonization Society), arrive in Zanizbar disguised as mechanics on a passenger steamer. The trio plans land on the mainland opposite Zanzibar and conclude treaties placing the local tribes under German protection. The German Government officially disapproves of their undertaking but German residents of Zanzibar provide encouragement.
November 8Peters, von Pfeil and Juhlke land at Mbuzini armed with a supply of German flags and blank treaty forms. A treaty is signed with the Chief of Usambara placing him under German protection. The flag is hoisted and Usambara is declared to be independent of Zanzibar.
NovemberThe German agents push up the Wami as far as the Usagara country and continue to conclude treaties of protection with the native tribes.
DecemberKarl Peters returns to the coast with documents which he claims concede nearly 100,000 sq. km. to the Deutsch Kolonialgeschellschaft (German Colonization Society).
1885February 17Kaiser Wilhelm II grants a charter of protection to the Deutsch Kolonialgeschellschaft (German Colonization Society) accepting suzerainty over the newly acquired territories and placing them, "under our Imperial protection".
March 6The British Government and the Sultan of Zanzibar are officially notified of the German actions in East Africa. Sultan Seyyid Bargash wires a protest to Berlin declaring that the lands in question have belonged to Zanzibar since the time of his fathers. The German Consul rejects Zanzibar's protest and the Sultan dispatches a small force to the disputed territory which he subsequently withdraws. May
The Sultan of Zanzibar sends an expedition under the command of General Lloyd Mathews, the commander-in-chief of the Zanzibar army, to the Kilimanjaro district, in to forestall further treaty making by German agents.
May 6The Sultan of Witu, a small territory situated north of the Tana River, executes a deed of sale and cession by which German subjects acquire rights on the coast-line claimed by the sultan.
May 25British Foreign Secretary Lord Granville directs the British ambassador to Berlin to inform the German Government that, "the supposition that Her Majesty's Government have no intention of opposing the German scheme of colonization in the neighbourhood of Zanzibar is absolutely correct."
AugustA German naval squadron appears off the coast of Zanzibar.
August 14The Sultan of Zanzibar agrees to recognize the German protectorate over Usagara and Witu as well as the validity of earlier treaties with the East African chiefs.
1886JuneA joint commission established by Great Britain, Germany and France, " for the purpose of inquiring into the claims of the sultans of Zanzibar to sovereignty over certain territories on the east coast of Africa, of the and of ascertaining their precise limits" recognizes the sultan's claims to the islands of Zanzibar, Pemba, Lamu, Mafia and a 10 mile wide strip of the East African coast stretching 600 miles between the south bank of the Minengani River and the mouth of the Tana River.
NovemberGreat Britain and Germany accept the findings of the International Joint Commission on Zanzibar.
December 4The Sultan of Zanzibar accepts the report of the International Joint Commission.
December 30Germany and Great Britain define the border between their East African spheres of influence between the mouth of the Tana River and Lake Victoria.
1887MarchThe Deutsch-Ostafrikanische Gesellschaft (German East African Company) is incorporated under Imperial charter.
1888April 28Sultan Khalifa of Zanzibar grants a lease on his mainland possessions to the Deutsch- Ostafrikanische Gesellschaft (German East African Company).
August 16The Deutsch-Ostafrikanische Gesellschaft (German East African Company) begins administration of its leases.
August 21Arab traders on the East African coast revolt against the rule of the German East Africa Company. The Company is unable to suppress the rebellion. Chancellor Bismarck dispatches a naval squadron and detachment of troops under the command of Major Hermann von Wissmann.
1889February 8Major Hermann von Wissmann is appointed Commissioner of German East Africa.
During the YearMajor von Wissman's detachment (for the most part Sudanese troops under German officers) crushes the Arab rebellion. 1890
July 1Great Britain and Germany sign an accord defining their spheres of influence in East Africa. Great Britain abandons plans to link its possessions from the "Cape to Cairo" and agrees to recognize German East Africa's boundary with the Congo Free State in return for German recognition of a British protectorate over Zanzibar.
October 28The sultan of Zanzibar cedes all sovereignty over the mainland territories leased to the Deutsch- Ostafrikanische Gesellschaft to the German Empire in return for a compensatory payment of 4 million marks (£200,000).

The World at War - GERMAN EAST AFRICA 1884 - 1922
 
Katika katiba yao mpya iliyorekebishwa kuruhusu serikali ya umoja wa kitaifa inatamka Zanzibar ni nchi. Hivyo wanachotaka ni kutambuliwa kimataifa

wewe si mtanganyika halisi inawezekana ukawa ni mnyarwanda n.k inakuwaje hujui historia yako...Zanzibar ni nchi huru iliyoungana na Tanganyika na kuunda Tanzania muda mfupi tu uliopita 1964
 
Ni kweli, waende zao ili walao kelele za malalamiko zipungue.

nadhani walikuwa wanawaza sana na kupiga hesabu zao mpaka wanapolala tokea siku waliyotapeliwa uhuru wao naona kila wanapoamka huja na
speed ya kulirudisha Taifa lao huru kwa vile Hawakupewa habari wakati Nyerere na cabinet yake walimzidi akili karume na kumtia katika mtego wa kuunganisha Tanganyika na Zanzibar:ballchain: naona mpaka leo hii wana proud vile vile tu kama wao ni Wazanzibar na Taifa lao popote pale walipo Duniani.

From Wikipedia, the free encyclopedia

in 1961 Tanganyika was granted self governance and Nyerere became its first Prime Minister on 9 December 1961. A year later Nyerere was elected President of Tanganyika when it became a republic. Nyerere was instrumental in the union between the islands of Zanzibar and the mainland Tanganyika to form Tanzania,

The islands gained independence from Britain in December 1963 as a constitutional monarchy. A month later, the bloody Zanzibar Revolution, in which thousands of Zanzibaris were killed in a genocide and thousands more expelled,[SUP][8][/SUP] led to the establishment of the Republic of Zanzibar That April, the republic was subsumed by the mainland former colony of Tanganyika. This United Republic of Tanganyika and Zanzibar was soon renamed (as a portmanteau) the United Republic of Tanzania, of which Zanzibar remains a semi-autonomous region.
images

Zanzibar at United Nation General Assembly 1963 in New York

after a coup in Zanzibar on 12 January 1964, The coup leader, a stonemason from Lira, Uganda, named John Okello, had intended Zanzibar to join Kenya. Nyerere, unnerved by the Tanganyika Army mutiny a few days later, ensured that Okello was barred from returning to Zanzibar after a visit to the mainland.

The relationship between Zanzibar government and Tanzanian Mainland hasn't been so good in recent years since Tanzania Prime Minister Mizengo Pinda's remark about the Isles' strong sovereignty that Zanzibar is not an independent country outside the Union Government, within which it can only exercise its sovereignty.[SUP][13][/SUP] Members from both the ruling party, Chama Cha Mapinduzi (CCM), and the opposition Civic United Front (CUF) disagreed with Mr Pinda's interpretation and stand firmly in recognizing Zanzibar as a fully autonomous and full state,[SUP][14][/SUP] the move which is widely unrecognized by the formation of the Government of the United Republic of Tanzania which raises a backlash between Members of Parliament from the Tanzania mainland and Zanzibar.:crutch:
 
hii SUK inawazingua sana wanajiona booooooooooora wengingine wote ni mapoyoyo tu !!!!!!!!!

kama wana hoja za msingi kwanini wasizilete mezani
 
Kuvuja kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi,lakini utashangaa kuna watz toka bara wataun'gan'gania usivunjwe hasa viongozi.
 
Wanaharakati wa zanzibar wamefikia hatua hiyo baada ya kuona hawaridhiki na matendo ya Muungano na hatimaye kuwasilisha uhitaji wao wa kujitenga UN.

Mytake: Kama muungano ukivunjika si hamna CCM au? ila ngojea tuwaze plan B

source BBC
bora wakae pembeni kwanza wabaguzi sana. ukitaka kujua hili waulize (watu wa bara) waliojaribu kuposa upembani kilichowakuta! thy consider thm-self perfect thn othrs
 
Back
Top Bottom