Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
<br />Nawaza peke yangu tu; hivi kqweli inawezekana kuipima imani ya mtu kwa kutumia sheria kumazimisha atimize imani hiyo?
<br />
Kondoo ndio mwenye dalili za kumilikiwa na hivyo huchungwa, Mbuzi yeye hachungwi bali anaswagwa, na anafurahia kuswagwa maana ndio asili yake.
.