Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Hivi ukiwa umefunga ukaona mwenzako atapiga supu kuku asubuhi asubuhi roho inakutoka na saumu inaisha? Nauliza maana i nilidhani muumini wa kweli aliyefungwa hawezi ingiwa na tamaa hata iweje. Au mnalazimishwa kufunga
Wewe kidogo umehoji kwa busara, kilichopo si kuwatamanisha wanaofunga bali itasaidia kwa malezi ya vijana na watoto wasije kuona kuendelea kula ktk mwezi wa ramadhani ni sawa tu. Hivyo hii inalenga kuwajenga watoto wajue jamii nzima haitegemei kuwaona wakila mchana wa ramadhani.