Yani wewe ukifunga kila mtu afunge hata asiyeamini unachokiaminKulingana na waraka huo, anayeingilia uhuru wa kuabudu wa mtu mwingine, ni anayekula hadharani wakati wa mfungo.
Swali linabaki pale pale, Sheria inasemaje?
Na Serikali ya MAPINDUZI Zanzibar Ina dini?
Charles anapingana na mawazo ya ma boss wake.Kampuni za kitalii zilizopigwa faini ya $500 kwa kila mtalii aliyekuwa anakula mchana. Serikali haihusiki?
Nilitegemea serikali ije na tamko la kuomba radhi badala ya kuja na upuuzi huu wa kukanusha.
Kuna mkuu wa Wilaya pia amekiri kuwa wanaokula mchana ktk mwezi mtukufu wanavunja sheria kwa kuwa "wameikerahisha jamii".
Sasa wewe Charles Hillary nani kakutuma useme haya??
Anachoandika si kimetoka kwa mabosi wake au huwa anaandika akijisikia tu?Charles anapingana na mawazo ya ma boss wake.
Hujaelewa,Yani wewe ukifunga kila mtu afunge hata asiyeamini unachokiamin
Kwani amekulisha kwa nguvu
Kula hadharani ndo kula vip, yani wewe ukifunga mtu akalie chakula chake chooni au kichakani
Wewe kama unaona watu wanaokula wanakula hadharani ikwepe hiyo hadharani ukae ndani kwako uone kama kuna mtu atakuja kwako kukulazimisha ule
Sent using Jamii Forums mobile app
😁Kunywa Bia Ufukweni Pasaka hii kiwe kipaumbele Nchi hii ni yetu sote.
Sijajua AtiiZanzibar kuna serikali?