Zanzibar: Marufuku Wamasai kutembea na SIME na RUNGU

dega

JF-Expert Member
Dec 18, 2012
3,138
3,042
Mkuu wa Wilaya ya Mjini AMBAE pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Mjini amepiga marufuku Kwa Watu wa jamii ya kimasai kutembea na SIME na RUNGU Kwa hofu ya uvunjifu wa Amani

Hayo yamejiri baada Kuzunguka Kwa Video wiki iliyopita ikionesha Wamasai wakiwashambulia Askari wa Mamlaka ya Mji Mkongwe ambao walikua katika kazi zao za kuondosha biashara holela katika Mji huo wa kitalii

Imeshuhudiwa miaka ya hivi karibuni jamii nyingi za kitanganyika Kwa mamia zikimiminika katika Miji ya Zanzibar Kwa kisingizio Cha kuja kutafuta MAISHA Bora

Hali hii imesababisha vurugu kubwa mitaani ikiwemo watu hao kulala maeneo ya wazi kama JAMHURI GARDEN kujusaidia ovyo mitaani kudhirura na watoto wachanga wakiomba na KUWEPO mamia ya walemavi wanaojipanga Barabarani kinyume na Tamaduni za wazanzibar

Licha ya hayo makundi hayo ya Watanganyika baadhi Yao hujushughulisja Kwa utapeli ,wizi na biashara za KAMARI

Hii imepelekea Haina ya ZANZIBAR kuanza kupotea hadhi yake Kwa vurugu za wamachinga hao mavazi ya kizanzibar pamoja na kiswahili fasaha kuanza kitoweka

Kuna haja na mikakati madhubuti kuchukuliwa Ili ZANZIBAR ibaki kuwa ZANZIBAR kwani Toka asili na jadi Zanzibar ikitambulika duniani kwote Kwa Adabu ustaarabu heshima uaminifu utu nk hivyo tusikubali tunu ZETU kupotezwa kiholela na nilazima tuzirithishe Kwa vizazi vyetu

HEKO DC MSARAKA LAKINI LAZI BADO KABISA

Pia soma:

Waliohoji na kupinga katazo la Wamasai kuzuiliwa kutembea a sime
Waliounga mkono katazo la wamasai kutembea na sime
Marufuku nyingine Zanzibar soma:
 
Mkuu wa Wilaya ya Mjini AMBAE pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Mjini amepiga marufuku Kwa Watu wa jamii ya kimasai kutembea na SIME na RUNGU Kwa hofu ya uvunjifu wa Amani
Huyo RC akae chini atulize tako lake linalomuwasha. Tangu lini wamasai wakavunja amani kisa tu wanatembea na sime na rungu? Mijitu mingine mioga sana.
 
Mkuu wa Wilaya ya Mjini AMBAE pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Mjini amepiga marufuku Kwa Watu wa jamii ya kimasai kutembea na SIME na RUNGU Kwa hofu ya uvunjifu wa Amani
...na hivi Wamasai wasivyopendwa na Wazenji kwa wanavyo wagonga wasichana wa Kizenji na jinsi mabint na vigasho wa zenji wanavyoshoboka na wamasai, hapo wamasai tayari wameyakanyaga. Bado marufuku ya kutovaa lubega na kuacha viungo nje
 
Mkuu wa Wilaya ya Mjini AMBAE pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Mjini amepiga marufuku Kwa Watu wa jamii ya kimasai kutembea na SIME na RUNGU Kwa hofu ya uvunjifu wa Amani
Kwani kuna mtu aliyejeruhiwa na Mmasai kwa sime? kama ndivyo ni hatua gani zimechukuliwa dhidi yake maana ule ni utamaduni wao na hatujawahi kuona wala kusikia Mmasai kamkata mtu kwa sime na wapo mjini miaka nenda rudi.
 
...na hivi Wamasai wasivyopendwa na Wazenji kwa wanavyo wagonga wasichana wa Kizenji na kinsi mabint wanavyoshoboka na wazenji hapo wamasai wameyakanyaga. Bado marufuku ya kutovaa lubega na kuacha viungo nje
Usitake tuseme mengi Wamasai wanagongwa na wataliana km hawana akili vizur wanataka wakajenge umasaini na kuendesha magari MAZUR
 
Back
Top Bottom