jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,776
- 7,682
Swala ni Visu/Mapanga, na hivyo vyote kiuusalama ni hatari,maana hizo ni silahaa siyo vizuri kutembea navyo Mujini,vitu vya huko porini vibaki huko huko porini!! Mjini ustaarabu kwanza!!Eheee, mwishowe watawaambia wavae chupi/ boxer na wao wamezoea kuning'niza mizuzu wao nje nje!!