Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,248
- 4,087
Kwa maeneo ya mjini, haifai watu kutembea na SIME na Rungu, wakati mwîgine hawa wamasai wanakuwaga na mental issues , sasa vikimcharuka anarusha sime au rungu wakati wowote na kwa yeyote aliye mbele yake.
Kwa maeneo ya mjini, nashauri hata Serikali ya bara izuie hawa watu kutembea na hizi zana ambazo zinaweza KUUA.
Kuna siku kama sikusea mwaka 2009 , magari ya Mwenge Posta siti za nyuma kulikuwa na Mama mjamzito na Mmasai na baadhi ya watu, out of the blue yule mmasai alianza kujipiga kichwani, tukashangaa anachomoa sime, alimtandika yule mama na Sime ya Bega, jamaa wa pembeni kuona hivo na kwa kujihami ikabidi amrukie mmasai, na watu wengine wakaanza kumpiga mmasai, ikabidi gari iende kituo cha polisi.
Baadae ikajulikana mmasai alikuwa na ishu ya akili na ni mental challenged na hata kwenye mkoba wake alikutwa na dawa za Carbamezapine.
Tunaheshimu tamaduni za watu, hili liendewe kwa hekima, kwa maeneo ya mjini ikatazwe, kwa maeneo ya vijijini na porini sehemu za uwindaji waendelee na tamaduni zao.
Tusisubiri mpaka siku matatizo yatokee.
Ninaamini hata hao wapemba kutaka kuwachukulia Sime zao, kuna story behind na kuna tukio behind la kiusalama.
Shida watanzania kwetu kila kitu ni mzaha mzaha
Kwa maeneo ya mjini, nashauri hata Serikali ya bara izuie hawa watu kutembea na hizi zana ambazo zinaweza KUUA.
Kuna siku kama sikusea mwaka 2009 , magari ya Mwenge Posta siti za nyuma kulikuwa na Mama mjamzito na Mmasai na baadhi ya watu, out of the blue yule mmasai alianza kujipiga kichwani, tukashangaa anachomoa sime, alimtandika yule mama na Sime ya Bega, jamaa wa pembeni kuona hivo na kwa kujihami ikabidi amrukie mmasai, na watu wengine wakaanza kumpiga mmasai, ikabidi gari iende kituo cha polisi.
Baadae ikajulikana mmasai alikuwa na ishu ya akili na ni mental challenged na hata kwenye mkoba wake alikutwa na dawa za Carbamezapine.
Tunaheshimu tamaduni za watu, hili liendewe kwa hekima, kwa maeneo ya mjini ikatazwe, kwa maeneo ya vijijini na porini sehemu za uwindaji waendelee na tamaduni zao.
Tusisubiri mpaka siku matatizo yatokee.
Ninaamini hata hao wapemba kutaka kuwachukulia Sime zao, kuna story behind na kuna tukio behind la kiusalama.
Shida watanzania kwetu kila kitu ni mzaha mzaha