Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,016
- 156,427
Masisiyemu mkoje lakini?Huu sio muda wa kulaumiana.
Mia tano yako tu unapata malimao na tangawizi z kutosha.
Masisiyemu mkoje lakini?Huu sio muda wa kulaumiana.
Mia tano yako tu unapata malimao na tangawizi z kutosha.
Umeona kuwa old age ni hatari sana..... Ni kuomba MunguBabu mpenda madaraka wa Unguja, yeye na mkewe wameukwaa
JINGA SANA HUYO MDADAMasisiyemu mkoje lakini?
Mungu atuepushie dude hiliUmeona kuwa old age ni hatari sana..... Ni kuomba Mungu
Na ndio watakua wa kwanza kupimwaHAWA WAKUBWA NDO WANAOLETA CORONA NCHI HII.WANAPOKEA WAGENI WA NJE BILA TAHADHARI YOYOTE ILE
Hongereni ACT kwa kuwa wawazi na kutokuwafanya madaktari wetu kuwa wanasiasa na kusema uongo kwa manufaa ya kubinafsi.
Kuna wagonjwa wangapi wa Corona ?
Ni hatari sana kwake na age yake. Aombe Mungu sana vinginevyo tutaongea mengine. Mungu pisha kwa mbali MUNGU AMPONYEMagufuli alisema hakuna sasa kaka yake seif ameukwaa
naomba literature inayosema hivyo ni dawa ya korona
Masisiyemu mkoje lakini?
JINGA SANA HUYO MDADA
Nikatae publication from a peer-reviewed journal?hata nikileta hautaamini.maana akili yako imeshakataa.
AMINI UNACHOAMINI.
CCM na zezeta lenu si ndio mlifunga na kuomba nyie?Sasa wewe endelea kumsubiri yesu arudi aje akupe dawa ya Corona.
Unaniuliza mimi idadi ya wagonjwa?
Si mwenyewe alisema "haipo?" Au hakuwa yeye?
JIONGOZE MWENYEWE!.
Nikatae publication from a peer-reviewed journal?
CCM na zezeta lenu si ndio mlifunga na kuomba nyie?