Zamani aliona madaftari mzigo, sasa anaona zege jepesi

Elimu yetu sio rafiki sana. Haishabiani sana na uhalisia wa maisha ya kila siku.
Wazazi wengi tunahangaika na vijana wetu baada ya kufeli kidato cha nne, mpaka hapo mtoto anakuwa hana ujuzi wa aina yoyote.. kwa hiyo tangu darasa la kwanza mpaka kidato cha nne kijana/binti anakuwa hajui nini cha kufanya.
Sitawazungumzia wanaoendelea mpaka kidato cha sita na vyuo lkn najua malalamiko yao mnayasikia kila kukicha.
 
Kwa Tz aliyesoma na asiye soma bora asiyesoma anamaisha mazurialikualiku kwasababu amejikubali na anafanya kazi yoyote bila aibu hata zege,mkuu graduates wanapitia magumu sana acha kabisa
Ni kweli,huyu jamaa alikuwa na fursa ila alizembea makusudi wa tumbo Moja waliosoma,wako vizuri!
 
Kwa Tz aliyesoma na asiye soma bora asiyesoma anamaisha mazurialikualiku kwasababu amejikubali na anafanya kazi yoyote bila aibu hata zege,mkuu graduates wanapitia magumu sana acha kabisa
Ni kweli,huyu jamaa alikuwa na fursa ila alizembea makusudi wa tumbo Moja waliosoma,wako vizuri!
 
Elimu ni muhimu kaka ila sio guarantee ya kuja kuishi vizuri, Kila mtu ana jinsi anakuja kuishi duniani kwa style yake... Others wamekuja kuteseka milele, Wengine kufurahi milele, Wengine kufurahi ndipo kuteseka na Wengine kuteseka ndipo kufurahi na wengine kufurahi kuteseka kufurahi kuteseka.

Hakuna anaepanga safari ya maisha yake iwe vipi japo kila mmoja ana matumaini ya kuja kuishi vizuri ndo maana tunapaswa kumuomba Mungu atufanyie hisani tuishi kama tunavyotamani.
 
Habari wana-JF kwa ujumla, elimu ndio kila kitu kwa ustawi wa nchi na kwa maendeleo ya mtu binafsi, kuna kijana mmoja la chuga alikuwa akilazimishwa na wazazi wake asome.

Yeye kwa akili ya ujinga akaona kama vile wanamuonea. Sasa amekuwa mtu wa kujitegemea, wazazi wamekuwa wazee, shule alifeli, ajira hakuna, yupo hapa Dodoma makao makuu.

Anafanyakazi ya saidia fundi maiko na hayo hapo juu ndio maneno yake vijana someni kwa bidii kila mtu atabeba msalaba wake mbeleni.
Hivi bila saidia fundi nyumbani zingesimama kweli?! Wacha kubeza kazi ya watu.
 
Elimu ni muhimu kaka ila sio guarantee ya kuja kuishi vizuri, Kila mtu ana jinsi anakuja kuishi duniani kwa style yake... Others wamekuja kuteseka milele, Wengine kufurahi milele, Wengine kufurahi ndipo kuteseka na Wengine kuteseka ndipo kufurahi na wengine kufurahi kuteseka kufurahi kuteseka.

Hakuna anaepanga safari ya maisha yake iwe vipi japo kila mmoja ana matumaini ya kuja kuishi vizuri ndo maana tunapaswa kumuomba Mungu atufanyie hisani tuishi kama tunavyotamani.
Uko sahihi kabisa,ila huyu hakutaka kusoma,hiyo kichwa Cha habari ndio kauli yake mbinu kwa wenzake!
 
Jinsi ulivyoweka tu heading yako inatosha kusema una brag, and you are idiot
Hiyo ipo Dunia nzima,wetu wengine kujiona Bora kuliko wenzao kama wewe!Lakini Mungu hutuumbua kwa KIFO.jimwambafai tuu mkuu,hainitishi,sikujui hunijui.
 
Haya maneno hayakutakiwa kuandikwa na mtoto wa kiume, sema basi tu hujuio ilip maana ya maisha
Akili Yako ndipo ilipoishia,kuleni sanao matunda na mboga za majani kwa wingi,ujinga huo ulioandika ndio mtoto wa kiume!Duuh,chips kavu noma.
 
Elimu yetu sio rafiki sana. Haishabiani sana na uhalisia wa maisha ya kila siku.
Wazazi wengi tunahangaika na vijana wetu baada ya kufeli kidato cha nne, mpaka hapo mtoto anakuwa hana ujuzi wa aina yoyote.. kwa hiyo tangu darasa la kwanza mpaka kidato cha nne kijana/binti anakuwa hajui nini cha kufanya.
Sitawazungumzia wanaoendelea mpaka kidato cha sita na vyuo lkn najua malalamiko yao mnayasikia kila kukicha.
Ni kweli haiko rafiki,lakini wanakuwa wanajiamini,wanajielewa na hata ukimpa ujuzi wowote iwe biashara,kilimo,ufugaji nk,anakuwa mwepesi zaidi kuliko asiyesoma huko.
 
Jinsi ulivyoweka tu heading yako inatosha kusema una brag, and you are idiot
Pia unaonyesha usingesoma,ungekuwa mtu mjinga na mpumbavu wa kwanza duniani, maana kichwa Cha habari na lugha ulizochanganya,zinakuonyesha jinsi ilivyo mchovu wa kupambana mambo!Lugha ya malkia na kiswahili.Eeh Mungu tupe Hekima na ufahamu.Maana jamaa anajiona kasimama Kumbe Kaanguka
 
Mbona umekuja spidi sana kumsimanga mshikaji.

Elimu sio lazima ya chuo kikuu. Mafanikio hayana uhusiano na shahada wala cheti.
Na pia hakuna kazi rahisi kama inavyodhaniwa, hata kama ni kukaa mbele ya computer trust me unaweza kuomba ukabebe hilo zege.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom