S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
We may have different opinions kuhusu Mengi na hatujui ana nia gani hasa lakini kwa hili tumpongeze kwa ujasiri wake wa kuweza kuhitisha press conference na kuwataja watu. Hii peke yake ina legal implications. Ukiangalia magazeti mengine ya leo wame elezea Mengi alichosema lakini hawa kuandika majina ya mafisadi kwa kuogopa kushtakiwa. Lets see what move hawa waliotajwa na Mengi watafanya.
Bravo...watu wanafikiria Mengi kutaja watu majina hadharani ni sawa na wao kutaja majina ya wachezaji wa Liverpool wakiwa vijiweni.