Nasubiri kuona mwanzo wa drama hii maana kweli Mengi alikuwa akizungumza kwa uhuru kabisa! Namuunga mkono.
Binafsi nimekuwa nikishindwa kuwa na imani na wafanyabiashara wa Kihindi. Imani niliyoijenga naamini niko sahihi kwamba Biashara za Wahindi nchini zimejaa ufisadi. Wana makundi ya kifisadi na kwa kiasi kikubwa wanasiasa wema wanashindwa kulisema ili wasiitwe wabaguzi.
Ninachokiona ni kwamba Wahindi wanastawi sana ki-biashara wanapokuwa ktk nchi ambazo zina viongozi laini na wenye njaa kama hii yetu na nchi zenye mifumo ya rushwa za wazi wazi. Nchi ambayo Waziri anapigiwa simu na kijana wa ki-hindi na kufunga safari kwenda kuchukuwa chochote. Aibu Tupu!!
Kwa kweli i support Reginald Mengi but he failed to mention KIWIRA na mapapa wengine kama EL, NK na MKAPA. Ila Mkapa kama mkapa i feel sorry for him. Anajuta kuufahamu uraisi.
- Hapa hakuna kawaida, majina yametajwa rasmi sasa ni wajibu wetu kuchunguza wameiba nini, wapi? Wameshirikiana na nani?
- Tusiwe wazembe wa kusubiri Mengi atufanyie kila kitu, ndio maana tunakwama, maana tufanyiwe kila kitu mpaka kufikiriwa, that is pathetic!
FMES!
Si amesema mafisadi papa hawazidi kumi???? na amewataja watano???? Labda hao waliosalia, ambao hajawataja (Maana inaonekana anawafahamu) ndio hawamengi ningemuona hero kama angeweza kutamka kuwa JK,mkapa na watendaji wakuu wao ndio fisadi namba moja....
Si amesema mafisadi papa hawazidi kumi???? na amewataja watano???? Labda hao waliosalia, ambao hajawataja (Maana inaonekana anawafahamu) ndio hawa
Duh namsikiliza mzee kaamua kweli kweli! Mwaka huu atakufa mtu walai, mpaka mafisadi papa wakomeshwe!!
Hapo ni muongo mafisadi ni wengi sana Chama kizima cha CCM ni mafisadi kuanzia Mwenyekiti mpaka balozi ,waondoke madarakani kuiongoza Serikali ya Tanzania na WaTanzania kwa ujumla.
Mkuu tatizo hapo Mengi hakusema mepya yote yameshaandikwa zaidi ya aliyoyasema na wengine wana kesi ,sasa hana jipya ni kutumia mgongo wa wengine kuelemeza hasira zake,na zaidi kujikosha kwa serikali ,he is the one.
Kwa nini kama anausongo na ufisadi asiikemee serikali kwa kushindwa kuwachukulia hatua za haraka ,Mengi anapigana na kivuli chake na utajiri alionao ndio unaomfanya awe anajikanyaga kwa kuogopa kushughulikiwa ,si umeona amejibamiza kwa Kikwete ,kwa ufupi amechagua upande ,nasema Mengi ametangaza rasmi upande aliopo wa timu kati ya timu za mafisadi.
Msiende mbali kama Mengi alikuwa na ubavu wa kutaja mapapa ya ufisadi mbona EL amemwacha kaogopa nini kumtaja? Msiumize kichwa Mengi ni mfanya biashara na hawa wafanya biashara kuna mgongano wa kimaslahi bila shaka.
kwikwikwi mengi hana jipya......ati anampa shavu jk......hao aliowataja jk ndio anawatumia kuchota mijihela.....
.....nani mshika mihuri? mwenye dhamana hao ni wafanya biashara tu wamepata baraka zoote toka kwa jk.......
Rostam mwaka jana kasimama na kuwasema akina Mengi pamoja na Mtikila je hiyo nayo inahitaji moral authority? Mengi naye leo kaongea kamsema Rostam je hiyo nayo inahitaji moral authority gani? Mwakyembe naye si alikuja kwa waandishi na yeye akamsema Rostam wakati yeye mwenyewe anahisa kwenye kampuni ya umeme je alikuwa na moyo authority, Je Mtikila alivyokuja kumsema Rostam wakati amevuta milioni tatu toka kwake je alikuwa na moral authority gani? Ndiyo maana nakwambia issue ni nini kimeongelewa na mtu siyo nani kaongea. Sasa Mengi anamsifia JK ambaye mimi binafsi namwona ni zao la ufisadi sasa kwa nini nisimtilie shaka?
Msiende mbali kama Mengi alikuwa na ubavu wa kutaja mapapa ya ufisadi mbona EL amemwacha kaogopa nini kumtaja? Msiumize kichwa Mengi ni mfanya biashara na hawa wafanya biashara kuna mgongano wa kimaslahi bila shaka.
Kwa kweli i support Reginald Mengi but he failed to mention KIWIRA na mapapa wengine kama EL, NK na MKAPA. Ila Mkapa kama mkapa i feel sorry for him. Anajuta kuufahamu uraisi.