chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 12,057
- 34,939
Hahahaaaa we kijana unahitaji ukombozi hahaaa!!!Binamu mke wake unamjua?? Yan huwez amin, utadhan mama ake mdogo, mweusi kama magufuli uson sasa utadhan mugabe
Hahahaaaa we kijana unahitaji ukombozi hahaaa!!!Binamu mke wake unamjua?? Yan huwez amin, utadhan mama ake mdogo, mweusi kama magufuli uson sasa utadhan mugabe
Aaaah wee umeona binamu? Jaman niko pamoja na mama mkwee mmh yule mwanamke hapana jaman, kwenye picha anatisha kama zombie, live sijui itakuaje waaah
Nimetokea kuwadharau sana baadhi ya wadada wa humu,hata kama ni umbea sio kiivyo uyo mwanamke kama angeamua kujichubua angefanya hivyo,nilichomkubali mim kaamua kubaki ktk hali yake halisi aliyoumbwa nayo.Inawahusu nini familia Za watu umbea tu au ulikataliwa. Na Eddy mke mbaya awe mzuri Ni wake
Huna lolote wew majungu tu na husda,unaanzaje kumuita binadam mwenzio mbwaWe mbwa umeuwasha moto ,ngoja nikununulie bundle mbwa wewe nikuonyeshe
Unamfahamu vizuri.?Hajafika hata 30s husimzeeshe
Huwa namwona anaswali ijumaa pale msikiti wa ngazija pembeni ya hindumandal hospitalAliku inspire eehy!?, yuko mjini he grew up, working corporate job.. NBC if not mistaken..cool guy kama back then.
Duuh! balaa tupu wanawake wa tz hawapendi kama vitu havijakaa square...!!?Mwenzangu binamu bora umeliona, ebu tupige umbea vzur, looh sio kwa sura ile jaman halafu anaonekana mkubwa, huyo Eddy na uzur wote ule jaman kaenda kuoa jimama mwee sijui dawa jaman, looh hapana, lazima tuvunje ndoa yake binamu akaoe kabint kazuri zur, ntaandaa kampen jaman, hapana kwa kwel
Hewalaaa, mke ni zaidi ya sura. Tatizo hawa watu wanaojitia mashuhuri kumchagulia mtu mke wao wenyewe ukute hawajawahi hata kutaniwa uchumba, wanaishia kuchezewa tu halafu wanamletea mshikaji makunyanzi..let them enjoy getting old with each other msiwasemee ya mioyo yao maana hamna kati yetu ajuaye walipendeana nini tunaishia kuspeculate tu.Watu wanamkandia uyo mwanamke.mbona sioni ubaya wake.
Au kujisitiri mwili wake ndio ubaya wake?au kutojichubua ndio ubaya wake?hizi akili mbovu kabisa,jamaa yupo sahihi huyo ndio wife material sio mwanamke wa kuumizana kichwa.
Uyo mwanamke anatukuza uasilia wake naamin lait kama angejichubua kwa mtazamo wenu ndio mngemuona ni mzuri
Acheni kuwaharibia wenzenu ndoa zao unajisikiaje pale unapokuwa sababu ya wanandoa kuachana.
Ninyi mnaojichubua mpo after money tu hamna upendo wa dhati mtu akifulia tu mnatafta sababu myachwe mkatafte wanaume wengine,muacheni dada wa watu afurahie ndoa yake hayo ya ubaya au uzuri hayawahusu.
Tru datJamiiforums ni habar nyingine, hakuna kisichofahamika, hakuna kumbukumbu inayokosa documentation...
I real salute you guys
Ahahahahaaaaaa weweNamuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
Mashallah mtoto mzuri,anajistiri,hajichubui...hakika huyu ndo wife material
We mbwa umeuwasha moto ,ngoja nikununulie bundle mbwa wewe nikuonyeshe
Point mkuuWatu wanamkandia uyo mwanamke.mbona sioni ubaya wake.
Au kujisitiri mwili wake ndio ubaya wake?au kutojichubua ndio ubaya wake?hizi akili mbovu kabisa,jamaa yupo sahihi huyo ndio wife material sio mwanamke wa kuumizana kichwa.
Uyo mwanamke anatukuza uasilia wake naamin lait kama angejichubua kwa mtazamo wenu ndio mngemuona ni mzuri
Acheni kuwaharibia wenzenu ndoa zao unajisikiaje pale unapokuwa sababu ya wanandoa kuachana.
Ninyi mnaojichubua mpo after money tu hamna upendo wa dhati mtu akifulia tu mnatafta sababu myachwe mkatafte wanaume wengine,muacheni dada wa watu afurahie ndoa yake hayo ya ubaya au uzuri hayawahusu.