gilldenu
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 2,914
- 3,002
MweeeeeeNamuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
MweeeeeeNamuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
Duh!Namuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
Mungu anakuona tu wewe endelea!!Binamu mke wake unamjua?? Yan huwez amin, utadhan mama ake mdogo, mweusi kama magufuli uson sasa utadhan mugabe
View attachment 401738
yeah yuko NBC
Dah dunia inakuzaView attachment 401738
yeah yuko NBC
sana kwakweliDah dunia inakuza
kweli kabisa mkuu. Hapo mke kapata na atatulia kwelikwelinimempenda huyo mwanamke!ana staha!wanaume huoa kupata tulizo la nafsi!naona eddy kalipata!sio kama wadada wa siku hizi presha tupu!
Ha ha ha ha ah ah ah Wewe Warumi unajua sio vizuri hivyo.Namuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
Not fair mkuu. That's is his choice and you must respect itNamuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
Kwa dini ya kiislam MKE KUWA MKUBWA SIO KOSA, Nadhani wamesahau kuwa Uzuri wa Mke ni tabia. Kuna waliooa wake wazuri kwa sura na maumbo kila siku wako humu kulalamika wanamegewa.Jamani mke wa Eddy hana ubaya hata kidogo kosa ni kumzidi umri mume? Dai yuko na zari nae mkubwa lakini kutwa kumsifia Dai, au kwa kuwa zari ni mweupe? tuache kukosoa Mungu ndie kamuumba na sio Eddy, na kama ni mbaya akosolewe Mungu, ila mume karidhika wapambe kashfa za nini? Tupige umbea ila si kukosoa alivyoumba Mungu, tusipende kuumiza wengine. tukumbuke hujafa hujaumbika., kuna wengine wadogo kiumri lakini nyuchi zao zimesha zeeka kwa kulaliwa tangu wakiwa na umri mdogo, so muacheni Eddy na mkewe.
Km wazuri waolewe wao basi...sio tabia nzuri kbsa kukosoa uumbaji wa Mungu...ndio keshapenda na kaoa....ni wivuu tu wanataman wao wangeolewa nae wauze sura insta...huku ndoa hawaziwezi...huyo ndio wifematerial sio fakeHewalaaa, mke ni zaidi ya sura. Tatizo hawa watu wanaojitia mashuhuri kumchagulia mtu mke wao wenyewe ukute hawajawahi hata kutaniwa uchumba, wanaishia kuchezewa tu halafu wanamletea mshikaji makunyanzi..let them enjoy getting old with each other msiwasemee ya mioyo yao maana hamna kati yetu ajuaye walipendeana nini tunaishia kuspeculate tu.
Hupendi ujinga kabisa naonaNamuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
Noma sanaNamuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
Namuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
Namuona insta, jamaa handsome ila mke wake jaman sura kama kameza panya buku
Wamepishana miaka mingapi.??Hakuna kitu mzazi hapendi kama mwanae kuoa mtu aliyemzidi umri sana....angalau hata hamzid kidogo ila sio kwa kupishana huko kwa eddy na mkewe