Yule jamaa aliyetokea mabwepande saa 12 asubuhi alikuwa anenda wapi?

Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.

Hahaha sasa wewe unafikiri alikuwa anatokea wapi?

Mabwepande pale watu wanaishi ni makazi yao. Sasa kama alitoka msikitini, shambani, ulinzi shirikishi, nyumba ndogo, au alikuwa anaelekea kibaruani huku town it is non of our god*** business.
 
Ndio maana watu wanaogopa kuwasaidia mkipata ajari.
Halafu mnawaita wanyama.
Huyu ni msamaria mwema na nadhani ilisemekana ilikuwa saa zaidi ya sambili na si saa 12 kama sijakosea

haswaaaa....huyu anawashwa tu kuanzisha topic kama huna cha kuandika si uchangie tu kama sie
 
Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.
Mkuu kwa mazingira ya Dar es salaam mbona saa 12 ni kweupee na watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida?!I believe he was just a good samaritan.Dr. Ulli alisema wengine waligoma kusaidia na wakampita may be kwa kuogopa kuisaidia polisi.
 
Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.
Kwa nini isitoshe tu kumuita msamaria mwema? Je angemwacha tu ingekuwaje? tukiwa na tume huru ya kuchunguza mkasa mzima labda mengi ya mwaswali maswali ambayo baadhi yetu tunayo yatajibiwa. for now it's just fair to be positive and continue praying for our beloved Dr Ulimboka.
 
Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.



Hakuna ajabu unaweza ukawa unahusika na tukio nzima wewe mwenyewe!
 
Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.

Wewe mpaka Rais kamshukuru , wewe unataka ahojiwe ? huoni kuwa bila yule kumpa msaada pengine Dr.Wetu angepoteza maisha.. kwa kawaida lazima alihojiwa mara alipomfikisha polisi ndio maana polisi wetu CCM, hawakuona umuhimu wa kumsumbua na kuamua kutuletea huyu mkenya kwa Gwajima...
 
Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.

hata mimi nimewaza sana kuhusu hili jambo na hizi namba za simu za madoctor wengine alizipataje? alijuaje kama ni ulimboka? huyu naye ahojiwe kistaarabu tu anaweza kutoa mwanga kwenye hiki kiza cha utekaji wa Daktari Ulimboka!!
 
Mleta mada ana mawazo ya Kipolisipolisi yale ya mwaka 47. Mawazo kama haya yamefanya watu wakimuona mtu kagongwa na gari wanamuacha afe kwa kuhofia kuisaidia polisi ambapo mara nyingi unaisaidia ukiwa lock up!
 
hata mimi nimewaza sana kuhusu hili jambo na hizi namba za simu za madoctor wengine alizipataje? alijuaje kama ni ulimboka? huyu naye ahojiwe kistaarabu tu anaweza kutoa mwanga kwenye hiki kiza cha utekaji wa Daktari Ulimboka!!

Vyanzo vinasema Ulimboka alijitambulisha mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom