Mwangendage
Member
- Jan 11, 2012
- 69
- 2
Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.
Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.
Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.
That was how far police investigation went.Si mbaya kuhojiwa. Mi nilishangaa zaidi mpaka Raisi Dhaifu aliingiza jina lake kwenye hotuba yake.
Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.
Si mbaya kuhojiwa. Mi nilishangaa zaidi mpaka Raisi Dhaifu aliingiza jina lake kwenye hotuba yake.
nimeambiwa huko Mabwe pande ni mabali sana na msitu mnene na pia ni reserve ya Taifa so hakuna shughuli binafsi ndiyo maana nauliza huyo jamaa alitokea wapi huko mabwe?
Jamaa alimkuta ulimboka akiwa hoi saa 12 asubuhi kwenye msitu mnene akaanza kumsaidia akiwa ametapakaa damu na alikuwa hamjui. Huyu ahojiwe vizuri anajua mpango mzima.