Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Kuweni na Subira, mlipiga kelele Mkapa haonenkani kwenye kampeni za JK, aliposimama jangwani Tanzania yote ikatingishika, kwa sasa endeleeni na Nape kwanza maana inaonekana ndio size yenu. Hakuna haja ya kuuwa mende kwa kabati wakati malapa yanaweza kumaliza kazi.