Yuko wapi Mh Zitto?

kama chama cha sisiemu kinataka kumuua mnafikiri ataonekanaje??? Uhuni mnaofanya Mungu anawaona dhulma itawarudia
ZZK bado anatafuta documents za gari lake. Mara akizipata ataziwasilisha polisi na ataonekana tena bungeni akiwa raia huru
 
Mkuu weka hapa ushahidi wa hayo maneno



Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri



Fuatilia hiyo link utayakuta hayo maneno akimuhimiza Dkt.Shein kupambana na yeyote anayempinga."Dkt.Shein una sapoti yangu yote,ukiona umemshindwa mtu niambie mimi uone kama itapita dk.5"

Una lingine,usifikiri tunaongea vitu tusivyo na ushahidi navyo.Mwenye mamlaka anapojiapiza kuwa na uwezo wa kumshughulikia mtu ndani ya dk.5,ni nani awezaye kupingana naye?Heko Mh.Zitto kwa kuukimbia mkono wa chuma,yawezekana nawe ungekuwa gerezani kama Mh.Lema,au ungekuwa kwenye Sandarusi na kuitwa mhamiaji haramu.
 
Hawa ccm......mwisho wao upo tu. Acha waendelee kucheza na uhai wa watz.....
 
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.
Bunge unaliangalia wapi? hau wewe umeruhusiwa kuangalia bunge live.
 
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.
Kaenda kufanya uchunguzi wa kupotea kwa Ben Saanane ni mwanasiasa pekee anayejali maisha ya wanasiasa wenzake Mshaija mkuru
 
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.


Nimesikia ameenda kozi kujifunza jinsi ya kulitamka Jina la mtoto wake mwenyewe, halafu aje atufundishe na sisi kulitamka, Josina – Umm Kulthum !
 
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.
Nyie si mnamsaka kwa kusema mazao yetu yamekauka kwa kukosa mvua
 
Nimesikia ameenda kozi kujifunza jinsi ya kulitamka Jina la mtoto wake mwenyewe, halafu aje atufundishe na sisi kulitamka, Josina – Umm Kulthum !
Jonh Cena?

Ndio maana hamlipwi kwa show mlizofanya wakati wa kampeni
 
Back
Top Bottom