chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Kwa sasa yuko Kisasa, Dodoma...Ataonekana muda ukifka
Kwa sasa yuko Kisasa, Dodoma...Ataonekana muda ukifka
ZZK bado anatafuta documents za gari lake. Mara akizipata ataziwasilisha polisi na ataonekana tena bungeni akiwa raia hurukama chama cha sisiemu kinataka kumuua mnafikiri ataonekanaje??? Uhuni mnaofanya Mungu anawaona dhulma itawarudia
Mkuu weka hapa ushahidi wa hayo maneno
Mwacheni apumzike kwa babu zake BurundiAtakuwa Twitter maana ndo ofisi yake siku hizi
Bunge unaliangalia wapi? hau wewe umeruhusiwa kuangalia bunge live.Wana jf wasalaam.
Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.
Wasalaam.
Kaenda kufanya uchunguzi wa kupotea kwa Ben Saanane ni mwanasiasa pekee anayejali maisha ya wanasiasa wenzake Mshaija mkuruWana jf wasalaam.
Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.
Wasalaam.
Wana jf wasalaam.
Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.
Wasalaam.
Nyie si mnamsaka kwa kusema mazao yetu yamekauka kwa kukosa mvuaWana jf wasalaam.
Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.
Wasalaam.
Jonh Cena?Nimesikia ameenda kozi kujifunza jinsi ya kulitamka Jina la mtoto wake mwenyewe, halafu aje atufundishe na sisi kulitamka, Josina – Umm Kulthum !
Iliandikwa yupo nchi jirani labda anasubiri visa ya ukimbizi nchi ya ulayayupo wapi? ameonekana bungeni?