msimamia kucha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 616
- 487
Aisee mungu amrehemu...nilimshuhudia akiwaswaga vijana 9 walioleta vurugu taifa mpaka kituo cha polis I changombe peke yake.
ni kweli aliitwa mkama sharp, huyu alishafariki tangu mwaka 2007, alizikwa huko maeneo ya kibara bunda mara, hadi anafariki alifikia cheo cha nyota moja. Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi, amina!wakuu habari
wale watoto wa mjini wa enzi hizo miaka ya tisini hili jina la mkamashamu hakuna asiyekuwa analijua
ni polisi machachari ambaye hajawahi tokea kwa tanzania
mkamashamu huyu bwana alikuwa anabeba pingu, kirungu, bastola, smg zote yeye tu na zote kazining'iniza
mkamashamu huyu huyu alikuwa anaweza kwenda kukamata kundi la vibaka hata ishirini na wote akawafunga mashati na kuwapeleka mpaka polisi
mkamashamu huyu alikuwa akikaa uwanja wa taifa kwenye mechi kubwa kubwa kulikuwa hakuna cha vurugu wala kukuru kakara za siku hizi
mkamashamu huyu huyu alikuwa akisema sitaki vurugu watu walikuwa wanatuli autafikiri wamemwagiwa maji ya moto
ila mkamashamu alipotea ghafla
na kuna conspirancy kibao kuhusu mkamashamu
wengine wanasema mkamashamu yuko jela sasa hivi
wengine wanasema mkamashamu amekwishafariki
wale wanaomkumbuka huyu jamaa nani anaweza kutuambia yuko wapi huyu jamaa
na sifa zake ambazo bado ziko kwenye memory ya kichwa chako waweza ku share na sisi
karibuni kwenye mada........
namkumbuka Sajini Sharp enzi zile. kwa kweli polisi ilikua polisi kweli hata majambazi walimkubali Sharp. RIP SHARP
Vile vile aliwahi kuwa mdau mzuri sana wa mchiriku!
sawa sawa mkuu,nakumbuka maeneo ya kariakoo alikuwa hakosekani katika michiriku.Vile vile aliwahi kuwa mdau mzuri sana wa mchiriku!
haikuwa bastora,ni mfoko unaohifadhi bastora,ni moja ya mikwara yake,rip mkama sharp.tuliokulia mishion quarters tunakukumbuka sana.Ni Mkama Sharp jamaa alikua na mikwara sana ana bastola kiunoni, rungu,pingu na farasi.Ukiambiwa Mkama anakuja enzi hizo unataka kuruka ukuta Taifa lazima uchachawe.
Mkama alifariki na alienda kuzikwa kwao Majita huko
wakuu habari
wale watoto wa mjini wa enzi hizo miaka ya tisini hili jina la mkamashamu hakuna asiyekuwa analijua
ni polisi machachari ambaye hajawahi tokea kwa tanzania
mkamashamu huyu bwana alikuwa anabeba pingu, kirungu, bastola, smg zote yeye tu na zote kazining'iniza
mkamashamu huyu huyu alikuwa anaweza kwenda kukamata kundi la vibaka hata ishirini na wote akawafunga mashati na kuwapeleka mpaka polisi
mkamashamu huyu alikuwa akikaa uwanja wa taifa kwenye mechi kubwa kubwa kulikuwa hakuna cha vurugu wala kukuru kakara za siku hizi
mkamashamu huyu huyu alikuwa akisema sitaki vurugu watu walikuwa wanatuli autafikiri wamemwagiwa maji ya moto
ila mkamashamu alipotea ghafla
na kuna conspirancy kibao kuhusu mkamashamu
wengine wanasema mkamashamu yuko jela sasa hivi
wengine wanasema mkamashamu amekwishafariki
wale wanaomkumbuka huyu jamaa nani anaweza kutuambia yuko wapi huyu jamaa
na sifa zake ambazo bado ziko kwenye memory ya kichwa chako waweza ku share na sisi
karibuni kwenye mada........