Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
vipi mambo yanaendaje? maandaliz/maendeleo etc...
dah..Mrs bana....leo nitapika mimi iliupumzike kidogo eeh mama ..kaangalie email kule basi luv
vipi mambo yanaendaje? maandaliz/maendeleo etc...
Kiasi cha moto kwenye kikombe cha chai kina vary on a person's lips/tongue sensitivity. Mimi ninaweza sema chai hii ina moto lakini wewe ukasema poa tu.sasa mpwaa ungenishtua mapema ili nijue kwamba niyaoge au ninawe...pengine nisingeyavula nnguo,labda ningeamua kunawa tu
noted!...........Kiasi cha moto kwenye kikombe cha chai kina vary on a person's lips/tongue sensitivity. Mimi ninaweza sema chai hii ina moto lakini wewe ukasema poa tu.
Hivyo inakuwa vigumu mtu kukushauri. Raha yake uonje tu. sis wengine wote ni wapiga debe tuu. Gharama gani ambazo umetumia kaka ?? wakati sasa una mwandani ambaye ukimkuta amekaa vibaya na njemba yeyote yule una haki ya kupata "temporary insanity status" na kumnyuka utakavyo???? Kwa GF huwezi kaka.
Inawezekana babu yako alimuoa bibi yako kwa kutoa ngombe 200 na haikuwa gharama kipindi hicho iwe gharama leo wakati washikaji kibao wamekuunga mkono bwana?
dah..Mrs bana....leo nitapika mimi iliupumzike kidogo eeh mama ..kaangalie email kule basi luv
iko poa dada lake geoff!...
kampani yako ina maanisha kila kitu kwangu!
I AM COUNTING 17-DAYS....!lolz
hehehehe!Whats happening here?...... Any way, ngoja niendelee na kilichonileta huku. Ukumbi fresh....MC tushamalizana. Ahaaa.... Yule mama wa mapambo siyo? Ntakutana naye kwenye ulanzi jioni..... Misosi?..... Ntaenda kuwacheki badae. Kwa sasa ngoja nikakamate mshkaki wa wow! Wow! Wow! Haka kabaridi ka hapa makambako.... Wapwaz msisahau kuja na makoti. Nawakilisha kwa sasa. Kama sitalewa ulanzi ntarudi hapa kuwapeni updates..... Ni mimi mtumishi wenu project february 13th Manager.
yaah!
picha ni lazime nitakufowadia kwa wingi tu!
hehehe!
imebaki pledge yako tu!......
natarajia kuonana na carmel kwa ajili ya mambo mambo ya pamba za send-off!ingawa weekend nitasafiri,sijui itakuwaje
yaani nguo zangu mimi!.....