Yondan, Twite Mali ya Yanga ..... TFF Yawaidhinisha

Wewe ulishaona wapi mchezaji anaidhinishwa kuichezea timu kwa kupigiwa kura, ina kanuni hakuna?
 
Rage kashinda kesi, alisema anataka fedha irudishwe.

Rage hakutaka pesa, yule msomali alitaka Twite asicheze na alijiapiza kulisimamia hilo. Kama ni fedha zilishapelekwa TFF na Twite mwenyewe siku nyingi na mkakataa kuzichukua. Sasa leo kimewashuka na mambo yenu ya kiswahili.

Yanga hoyeeeeeeeee! Tunawasubiri tuwafanye ile kitu mmefanywa na SofaNYAU
 
Mwaka huu tutashuhudia mengi 2! Kama sheria zipo then tff inashindwa kuzisimamia basi.. Yangu macho!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ahlaan Wasahlan wa marhabaa mtani...
Ftari ukaninyima vyungu vyote 30 sheikh!
Dah kweli uislam ndivyo unavyosema hivyo?

haya bana pesa mtapewa lakini twawaomba mkamlipe yule bimkubwa anayewadai pesa ya chapati tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Pia nawashauri ndugu zangu nendeni mkafanye ukarabati jengo lenu la makao makuu.
Halina vyoo, hivyo inapelekea watu kujisaidia kwenye vifuko vya Lailoni na kutupa juu ya nyumba za jirani.

Then ukikutana na msomali naomba umuulize ile ahadi ya uwanja vp?
Au ni muendelezo wa ahadi za watu wa CCM?

Wabillah Tawfiq asalaam aleikhum

Bangi za jangwani zinaambatana na harufu ya mfereji wa uchafu wa kiwanda cha beer. Si makosa yako.
 
Rage hakutaka pesa, yule msomali alitaka Twite asicheze na alijiapiza kulisimamia hilo. Kama ni fedha zilishapelekwa TFF na Twite mwenyewe siku nyingi na mkakataa kuzichukua. Sasa leo kimewashuka na mambo yenu ya kiswahili.

Yanga hoyeeeeeeeee! Tunawasubiri tuwafanye ile kitu mmefanywa na SofaNYAU
Five-goal-Simba-rout-Yanga.jpg

 
Soma uhuni wa TFF:
Hatimaye leo hii sakata la uhamisho wa Mbuyu Twite na Kelvin Yondani waliosajiliwa na klabu ya Yanga na kuwekewa pingamizi na timu ya Simba limefikia mwisho baada ya wachezaji hao kuidhinishwa na kamati ya sheria, maadili na hadhi za wachezaji ya shirikisho la soka TFF, chini mwenyekiti mwanasheria Alex Mgongolwa, kuichezea klabu bingwa ya Afrika mashariki na kati Dar Young Africans.


Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka ndani ya shirikisho la soka nchini ni kwamba wakati kamati ya maadili na sheria ilipokaa mkutano wa kujadili mapingamizi ya wachezaji hao ilishindikana kabisa kwa wajumbe wa kamati kufikia makubaliano juu ya hukumu ya mapingamizi hayo hasa la Kelvin Yondan na hapo ndipo ikamuuriwa kwamba zipigwe kura miongoni mwa wajumbe kuamua ni wapi mchezaji huyo akacheze msimu kati ya Yanga au Simba ambazo zote zina mkataba naye. Wajumbe wakapiga kura na hatimaye kura nyingi zikachague aidhinishwe ajiunge na Yanga.


Kwa upande wa suala la mchezaji Mbuyu Twitte liliamuariwa kwa Yanga iwalipe Simba kiasi cha $32,000 ambazo Simba walimlipa Mbuyu Twitte ajiunge nayo kabla ya Yanga kuwazidi nguvu mahasimu wao na kumtwaa mchezaji huyo huku akiwa tayari kashasaini mkataba na Simba, malipo haya yafanyike ndani ya siku 21 na baada ya hapo Twitte atakuwa huru kukipiga jangwani.
 
Jamani wengine hatujajua hatma ya maamuzi ya ile kamati ya maadili na haki za wachezaji ya TFF naomba mtuhabarishe.....................
 
Simba wameshitaki kesi 3 na wameshindwa zote, yondani, twiite na Chombo. Rage aliiapia kwamba kasoma sheria lakini kusimamia sheria awezi. Yaani mwenyekiti wa timu anaenda kulipa cash kigali? sijui kama na risiti alipewa makosa hayo hayo yalishamweka lupango lakini hakomi anaendelea kuuza maneno watu wakikaza anakwenda tena lupango.
 
Simba wameshitaki kesi 3 na wameshindwa zote, yondani, twiite na Chombo. Rage aliiapia kwamba kasoma sheria lakini kusimamia sheria awezi. Yaani mwenyekiti wa timu anaenda kulipa cash kigali? sijui kama na risiti alipewa makosa hayo hayo yalishamweka lupango lakini hakomi anaendelea kuuza maneno watu wakikaza anakwenda tena lupango.

Rage huyu huyu aka msomali alituambia kuwa kuwa mkataba wa Yondani Yanga ni toilet paper..umesainiwa usiku nk.....Hahahahahaaaaa...achaka ncheke....
 
Simba wameshitaki kesi 3 na wameshindwa zote, yondani, twiite na Chombo. Rage aliiapia kwamba kasoma sheria lakini kusimamia sheria awezi. Yaani mwenyekiti wa timu anaenda kulipa cash kigali? sijui kama na risiti alipewa makosa hayo hayo yalishamweka lupango lakini hakomi anaendelea kuuza maneno watu wakikaza anakwenda tena lupango.
mama acha kubwata kama bata ni sheria ipi iliyotumika kumwizinisha Yondani kuichezea Yanga kama siyo uhuni wa viongozi wa TFF, wewe uliwahi kuona wapi sheria inaamriwa kwa watu kupiga kura eti wangapi wanataka achezee Yanga na wangapi wanataka achezee Simba!? tumieni akili angalau kidogo siyo hayo makamasi yenu.....soma kilichotokea


Hatimaye leo hii sakata la uhamisho wa Mbuyu Twite na Kelvin Yondani waliosajiliwa na klabu ya Yanga na kuwekewa pingamizi na timu ya Simba limefikia mwisho baada ya wachezaji hao kuidhinishwa na kamati ya sheria, maadili na hadhi za wachezaji ya shirikisho la soka TFF, chini mwenyekiti mwanasheria Alex Mgongolwa, kuichezea klabu bingwa ya Afrika mashariki na kati Dar Young Africans.


Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka ndani ya shirikisho la soka nchini ni kwamba wakati kamati ya maadili na sheria ilipokaa mkutano wa kujadili mapingamizi ya wachezaji hao ilishindikana kabisa kwa wajumbe wa kamati kufikia makubaliano juu ya hukumu ya mapingamizi hayo hasa la Kelvin Yondan na hapo ndipo ikamuuriwa kwamba zipigwe kura miongoni mwa wajumbe kuamua ni wapi mchezaji huyo akacheze msimu kati ya Yanga au Simba ambazo zote zina mkataba naye. Wajumbe wakapiga kura na hatimaye kura nyingi zikachague aidhinishwe ajiunge na Yanga.


Kwa upande wa suala la mchezaji Mbuyu Twitte liliamuariwa kwa Yanga iwalipe Simba kiasi cha $32,000 ambazo Simba walimlipa Mbuyu Twitte ajiunge nayo kabla ya Yanga kuwazidi nguvu mahasimu wao na kumtwaa mchezaji huyo huku akiwa tayari kashasaini mkataba na Simba, malipo haya yafanyike ndani ya siku 21 na baada ya hapo Twitte atakuwa huru kukipiga jangwani.
 
Rage huyu huyu aka msomali alituambia kuwa kuwa mkataba wa Yondani Yanga ni toilet paper..umesainiwa usiku nk.....Hahahahahaaaaa...achaka ncheke....
Wewe bila shaka unasumbuliwa na ukabila.....Nchi hii mambo mengi tunaburuzwatu sheria hazi fatwi Yondan kisheria ni mchezaji wa simba lakini kwa kuwa walioko kwenye hiyo kamati wengi ni Yanga ndiyo maana wameamua hivyo...
 
Ngoja tuone leo Simba atalamba ice cream ngapi toka kwa wapika mikate na chapati wa Chamazi
 
Wewe bila shaka unasumbuliwa na ukabila.....Nchi hii mambo mengi tunaburuzwatu sheria hazi fatwi Yondan kisheria ni mchezaji wa simba lakini kwa kuwa walioko kwenye hiyo kamati wengi ni Yanga ndiyo maana wameamua hivyo...

Acha kutoa povu wewe... Yondani ni mali ya Yanga basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom