Marekebisho ya lazima, TPLB/TFF wanaipendelea Yanga au ni bahati mbaya tu?

DullyJr

JF-Expert Member
Apr 10, 2011
13,979
11,816
Habari za uhakika kutoka TPLB naambiwa mechi ya Tabora United na Yanga inachezwa Dodoma na ile ya Tabora United na Simba ndiyo itachezwa Tabora.

Hii dhana ya upendeleo kwa Yanga itaendelea kuwatafuna TPLB/TFF aidha kwa makusudi au kwa bahati mbaya.

Msimu uliopita yalikuwa haya haya ambapo Yanga hawakucheza Nyankumbu mechi yao na Geita ikachezwa KIRUMBA, Simba wakacheza mechi yao Nyankumbu.

Mechi ya Manungu kati ya Mtibwa na Yanga ilichezwa katikati ya dhana ya kwamba Yanga hawatocheza Manungu baada ya kiwanja kuonekana kibovuuuu lakini walicheza hali iliyofuta hiyo dhana, mechi hii ya Tabora pia kwamba Yanga hawatoenda Tabora na yametimia, kuweni makini watu wa mpira hatunaga siri.

Msimu huu yamejirudia yaleyale ya msimu uliopita, Yanga mechi na Tabora inachezwa Dodoma ila Tabora na Simba itachezwa Tabora, sababu ni zile zile kiwanja kinafungiwa halafu kinafunguliwa siku chache kabla ya mechi ya Yanga halafu wanasema kanuni inakataa kutumia hicho kiwanja kwahiyo Yanga wanakuwa kwenye faida.

Naambiwa kiwanja kimefunguliwa leo kwahiyo kanuni inataka baada ya siku 7 ndipo kianze kutumika, Yanga mechi yao ipo tarehe 23/12 siku 2 tu mbele, wakati ile ya Tabora na Simba ipo tarehe 29/12 siku 8 mbele ambapo ni ndani ya muda wa kikanuni.

Kumekuwa na dhana ya Yanga kupata “feva” kutoka kwa TFF/TPLB, wanaoharibu zaidi ni wapambe wanaojisifu kwamba Viongozi Wakuu Yanga na TFF wana nasaba kwahiyo wanafanya wanayotaka. Msiache dhana hii ikamea itapanda mbegu mbaya.

Siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.

Credit to: Bin Kazumari Mtipa (The voice of the voiceless)

jemedarisaid-20231221-0001.jpg
 
Ndugu mbumbumbu Yanga si mwenyeji wa mchezo Hana uwezo wa kuchagua uwanja wa kuchezea.
Tff, au bodi yake wanao uwezo wa kufungia kiwanja kisicho faa ila hawana uwezo wa kuilazimisha timu ichezee kiwanja Gani ayo ni maamuzi ya timu husika.
Timu husika wanacho takiwa ni kuitaarifu bodi ni uwanja upi utatumika kuchezea mechi Yao nao uwe ni uwanja ambao ulisha ruhusiwa kutumika kwa michezo ya Ligi.
 
Ndugu mbumbumbu Yanga si mwenyeji wa mchezo Hana uwezo wa kuchagua uwanja wa kuchezea.
Tff, au bodi yake wanao uwezo wa kufungia kiwanja kisicho faa ila hawana uwezo wa kuilazimisha timu ichezee kiwanja Gani ayo ni maamuzi ya timu husika.
Timu husika wanacho takiwa ni kuitaarifu bodi ni uwanja upi utatumika kuchezea mechi Yao nao uwe ni uwanja ambao ulisha ruhusiwa kutumika kwa michezo ya Ligi.
Na hayo ndio madhara ya kuingizwa bure
 
Habari za uhakika kutoka TPLB naambiwa mechi ya Tabora United na Yanga inachezwa Dodoma na ile ya Tabora United na Simba ndiyo itachezwa Tabora.

Hii dhana ya upendeleo kwa Yanga itaendelea kuwatafuna TPLB/TFF aidha kwa makusudi au kwa bahati mbaya.

Msimu uliopita yalikuwa haya haya ambapo Yanga hawakucheza Nyankumbu mechi yao na Geita ikachezwa KIRUMBA, Simba wakacheza mechi yao Nyankumbu.

Mechi ya Manungu kati ya Mtibwa na Yanga ilichezwa katikati ya dhana ya kwamba Yanga hawatocheza Manungu baada ya kiwanja kuonekana kibovuuuu lakini walicheza hali iliyofuta hiyo dhana, mechi hii ya Tabora pia kwamba Yanga hawatoenda Tabora na yametimia, kuweni makini watu wa mpira hatunaga siri.

Msimu huu yamejirudia yaleyale ya msimu uliopita, Yanga mechi na Tabora inachezwa Dodoma ila Tabora na Simba itachezwa Tabora, sababu ni zile zile kiwanja kinafungiwa halafu kinafunguliwa siku chache kabla ya mechi ya Yanga halafu wanasema kanuni inakataa kutumia hicho kiwanja kwahiyo Yanga wanakuwa kwenye faida.

Naambiwa kiwanja kimefunguliwa leo kwahiyo kanuni inataka baada ya siku 7 ndipo kianze kutumika, Yanga mechi yao ipo tarehe 23/12 siku 2 tu mbele, wakati ile ya Tabora na Simba ipo tarehe 29/12 siku 8 mbele ambapo ni ndani ya muda wa kikanuni.

Kumekuwa na dhana ya Yanga kupata “feva” kutoka kwa TFF/TPLB, wanaoharibu zaidi ni wapambe wanaojisifu kwamba Viongozi Wakuu Yanga na TFF wana nasaba kwahiyo wanafanya wanayotaka. Msiache dhana hii ikamea itapanda mbegu mbaya.

Siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.

Credit to: Bin Kazumari Mtipa (The voice of the voiceless)

View attachment 2849040
Anayechagua mechi ichezwe wapi ni timu mwenyeji sasa mnailaumu vipi Yanga? Huo uwanja wa Tabora na Liti vimefungiwa muda sasa ila ikija Yanga na Simba kelele. Kwani hizo timu nyingine mbona hazikulalamika ( Ujinga wa Simba na Yanga).
 
Habari za uhakika kutoka TPLB naambiwa mechi ya Tabora United na Yanga inachezwa Dodoma na ile ya Tabora United na Simba ndiyo itachezwa Tabora.

Hii dhana ya upendeleo kwa Yanga itaendelea kuwatafuna TPLB/TFF aidha kwa makusudi au kwa bahati mbaya.

Msimu uliopita yalikuwa haya haya ambapo Yanga hawakucheza Nyankumbu mechi yao na Geita ikachezwa KIRUMBA, Simba wakacheza mechi yao Nyankumbu.

Mechi ya Manungu kati ya Mtibwa na Yanga ilichezwa katikati ya dhana ya kwamba Yanga hawatocheza Manungu baada ya kiwanja kuonekana kibovuuuu lakini walicheza hali iliyofuta hiyo dhana, mechi hii ya Tabora pia kwamba Yanga hawatoenda Tabora na yametimia, kuweni makini watu wa mpira hatunaga siri.

Msimu huu yamejirudia yaleyale ya msimu uliopita, Yanga mechi na Tabora inachezwa Dodoma ila Tabora na Simba itachezwa Tabora, sababu ni zile zile kiwanja kinafungiwa halafu kinafunguliwa siku chache kabla ya mechi ya Yanga halafu wanasema kanuni inakataa kutumia hicho kiwanja kwahiyo Yanga wanakuwa kwenye faida.

Naambiwa kiwanja kimefunguliwa leo kwahiyo kanuni inataka baada ya siku 7 ndipo kianze kutumika, Yanga mechi yao ipo tarehe 23/12 siku 2 tu mbele, wakati ile ya Tabora na Simba ipo tarehe 29/12 siku 8 mbele ambapo ni ndani ya muda wa kikanuni.

Kumekuwa na dhana ya Yanga kupata “feva” kutoka kwa TFF/TPLB, wanaoharibu zaidi ni wapambe wanaojisifu kwamba Viongozi Wakuu Yanga na TFF wana nasaba kwahiyo wanafanya wanayotaka. Msiache dhana hii ikamea itapanda mbegu mbaya.

Siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.

Credit to: Bin Kazumari Mtipa (The voice of the voiceless)

View attachment 2849040
Unacholalamikia Wala akieleweki, yanga anahusikaje hapo? Kanuni ziko wazi Kama uwanja umefunguliwa Leo yanga aiwezi kucheza pale iyo ni kanuni ambayo vilabu vyote viliipitisha Sasa unailalamikia Nini TFF?
 
Habari za uhakika kutoka TPLB naambiwa mechi ya Tabora United na Yanga inachezwa Dodoma na ile ya Tabora United na Simba ndiyo itachezwa Tabora.

Hii dhana ya upendeleo kwa Yanga itaendelea kuwatafuna TPLB/TFF aidha kwa makusudi au kwa bahati mbaya.

Msimu uliopita yalikuwa haya haya ambapo Yanga hawakucheza Nyankumbu mechi yao na Geita ikachezwa KIRUMBA, Simba wakacheza mechi yao Nyankumbu.

Mechi ya Manungu kati ya Mtibwa na Yanga ilichezwa katikati ya dhana ya kwamba Yanga hawatocheza Manungu baada ya kiwanja kuonekana kibovuuuu lakini walicheza hali iliyofuta hiyo dhana, mechi hii ya Tabora pia kwamba Yanga hawatoenda Tabora na yametimia, kuweni makini watu wa mpira hatunaga siri.

Msimu huu yamejirudia yaleyale ya msimu uliopita, Yanga mechi na Tabora inachezwa Dodoma ila Tabora na Simba itachezwa Tabora, sababu ni zile zile kiwanja kinafungiwa halafu kinafunguliwa siku chache kabla ya mechi ya Yanga halafu wanasema kanuni inakataa kutumia hicho kiwanja kwahiyo Yanga wanakuwa kwenye faida.

Naambiwa kiwanja kimefunguliwa leo kwahiyo kanuni inataka baada ya siku 7 ndipo kianze kutumika, Yanga mechi yao ipo tarehe 23/12 siku 2 tu mbele, wakati ile ya Tabora na Simba ipo tarehe 29/12 siku 8 mbele ambapo ni ndani ya muda wa kikanuni.

Kumekuwa na dhana ya Yanga kupata “feva” kutoka kwa TFF/TPLB, wanaoharibu zaidi ni wapambe wanaojisifu kwamba Viongozi Wakuu Yanga na TFF wana nasaba kwahiyo wanafanya wanayotaka. Msiache dhana hii ikamea itapanda mbegu mbaya.

Siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.

Credit to: Bin Kazumari Mtipa (The voice of the voiceless)

View attachment 2849040
Kama kamba ipo jirani itumie kikamilifu kujitundika
 
Ndugu mbumbumbu Yanga si mwenyeji wa mchezo Hana uwezo wa kuchagua uwanja wa kuchezea.
Tff, au bodi yake wanao uwezo wa kufungia kiwanja kisicho faa ila hawana uwezo wa kuilazimisha timu ichezee kiwanja Gani ayo ni maamuzi ya timu husika.
Timu husika wanacho takiwa ni kuitaarifu bodi ni uwanja upi utatumika kuchezea mechi Yao nao uwe ni uwanja ambao ulisha ruhusiwa kutumika kwa michezo ya Ligi.
Umeelewa kilichoandikwa ?

Bodi ya ligi ndiyo wanafanya huu mchezo. Kwa kuufungia uwanja ili yanga isicheze hapo na baada ya muda wa kikanuni wanaufungulia. Wakati huo mechi ishachezwa pengine.

Hapa maana yake Yanga hawataki kucheza Tabora. So wanaingia dili na tff na bodi yake.

Vitu vidogo tu halafu huelewi
 
Habari za uhakika kutoka TPLB naambiwa mechi ya Tabora United na Yanga inachezwa Dodoma na ile ya Tabora United na Simba ndiyo itachezwa Tabora.

Hii dhana ya upendeleo kwa Yanga itaendelea kuwatafuna TPLB/TFF aidha kwa makusudi au kwa bahati mbaya.

Msimu uliopita yalikuwa haya haya ambapo Yanga hawakucheza Nyankumbu mechi yao na Geita ikachezwa KIRUMBA, Simba wakacheza mechi yao Nyankumbu.

Mechi ya Manungu kati ya Mtibwa na Yanga ilichezwa katikati ya dhana ya kwamba Yanga hawatocheza Manungu baada ya kiwanja kuonekana kibovuuuu lakini walicheza hali iliyofuta hiyo dhana, mechi hii ya Tabora pia kwamba Yanga hawatoenda Tabora na yametimia, kuweni makini watu wa mpira hatunaga siri.

Msimu huu yamejirudia yaleyale ya msimu uliopita, Yanga mechi na Tabora inachezwa Dodoma ila Tabora na Simba itachezwa Tabora, sababu ni zile zile kiwanja kinafungiwa halafu kinafunguliwa siku chache kabla ya mechi ya Yanga halafu wanasema kanuni inakataa kutumia hicho kiwanja kwahiyo Yanga wanakuwa kwenye faida.

Naambiwa kiwanja kimefunguliwa leo kwahiyo kanuni inataka baada ya siku 7 ndipo kianze kutumika, Yanga mechi yao ipo tarehe 23/12 siku 2 tu mbele, wakati ile ya Tabora na Simba ipo tarehe 29/12 siku 8 mbele ambapo ni ndani ya muda wa kikanuni.

Kumekuwa na dhana ya Yanga kupata “feva” kutoka kwa TFF/TPLB, wanaoharibu zaidi ni wapambe wanaojisifu kwamba Viongozi Wakuu Yanga na TFF wana nasaba kwahiyo wanafanya wanayotaka. Msiache dhana hii ikamea itapanda mbegu mbaya.

Siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.

Credit to: Bin Kazumari Mtipa (The voice of the voiceless)

View attachment 2849040
Ni lini 5imba ili cheza uwanja wa Nyankubumbu? ukitoa uthibitisho nakupa 100K cash hapa
 
Umeelewa kilichoandikwa ?

Bodi ya ligi ndiyo wanafanya huu mchezo. Kwa kuufungia uwanja ili yanga isicheze hapo na baada ya muda wa kikanuni wanaufungulia. Wakati huo mechi ishachezwa pengine.

Hapa maana yake Yanga hawataki kucheza Tabora. So wanaingia dili na tff na bodi yake.

Vitu vidogo tu halafu huelewi
Kwani huo uwanja ulizuiliwa kwa mechi za Simba na Yanga tu? Mechi ngapi hazichachezwa hapo Al Hassan Mwinyi? Mbona hamkulalamika, acheni umbumbu. Leo liti umefungiwa mbona hamlalamiki timu kucheza na Singida Karatu? Kisa Yanga.
 
Habari za uhakika kutoka TPLB naambiwa mechi ya Tabora United na Yanga inachezwa Dodoma na ile ya Tabora United na Simba ndiyo itachezwa Tabora.

Hii dhana ya upendeleo kwa Yanga itaendelea kuwatafuna TPLB/TFF aidha kwa makusudi au kwa bahati mbaya.

Msimu uliopita yalikuwa haya haya ambapo Yanga hawakucheza Nyankumbu mechi yao na Geita ikachezwa KIRUMBA, Simba wakacheza mechi yao Nyankumbu.

Mechi ya Manungu kati ya Mtibwa na Yanga ilichezwa katikati ya dhana ya kwamba Yanga hawatocheza Manungu baada ya kiwanja kuonekana kibovuuuu lakini walicheza hali iliyofuta hiyo dhana, mechi hii ya Tabora pia kwamba Yanga hawatoenda Tabora na yametimia, kuweni makini watu wa mpira hatunaga siri.

Msimu huu yamejirudia yaleyale ya msimu uliopita, Yanga mechi na Tabora inachezwa Dodoma ila Tabora na Simba itachezwa Tabora, sababu ni zile zile kiwanja kinafungiwa halafu kinafunguliwa siku chache kabla ya mechi ya Yanga halafu wanasema kanuni inakataa kutumia hicho kiwanja kwahiyo Yanga wanakuwa kwenye faida.

Naambiwa kiwanja kimefunguliwa leo kwahiyo kanuni inataka baada ya siku 7 ndipo kianze kutumika, Yanga mechi yao ipo tarehe 23/12 siku 2 tu mbele, wakati ile ya Tabora na Simba ipo tarehe 29/12 siku 8 mbele ambapo ni ndani ya muda wa kikanuni.

Kumekuwa na dhana ya Yanga kupata “feva” kutoka kwa TFF/TPLB, wanaoharibu zaidi ni wapambe wanaojisifu kwamba Viongozi Wakuu Yanga na TFF wana nasaba kwahiyo wanafanya wanayotaka. Msiache dhana hii ikamea itapanda mbegu mbaya.

Siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.

Credit to: Bin Kazumari Mtipa (The voice of the voiceless)

View attachment 2849040
TFF na Bodi bado ni Wahuni tu. Timu inachezaji Mechi ya kimataifa jumatano halafu Ijumaa icheze ligi?
 
Ifike mahali makolo wawe wanaichagulia Dar Young Africans uwanja wa kucheza maana wanateseka sana
 
Back
Top Bottom