Yondani is past his peak/na huyo mkongo pia. Kwa usajili huo wa hayo magarasa wasitegemee kumfunga mnyama ...
Rage kashinda kesi, alisema anataka fedha irudishwe.
Yondani is past his peak/na huyo mkongo pia. Kwa usajili huo wa hayo magarasa wasitegemee kumfunga mnyama ...
Bro wewe ni mkubwa mwenzetu, enzi za Gulamali ndipo Yanga ikaitwa umoja wa Mataifa. Hii ilitokana na Simba kujiita Taifa Kubwa.tarehe 13 mwezi novemba mwaka
1991 katika uwanja wa taifa timu ya
Yanga ya Tanzania waliingia uwanjani na basi la
Sharuksy lililokuwa likimilikiwa na mfadhili wao wa kipindi hicho marehemu Abbas
Gulamali, timu ya Simba ya Dar es salaam iliweka mpira kwapani wakati wa mapumziko na
kutokomea kusiko julikana.
kuweka mpira kwapani kulifuatia vipigo
mfululizo vya august 31, october 9 lakini ilitanguliwa na kipigo cha Said Sued "Scud" cha
mei 18.
View attachment 64549:a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465:yanga oyeee:a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465::a s 465:
View attachment 64549
oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee![/QUOTMAHESABU ZANGU NI HIZI AZAM3-SIMBA1.
HALAFU YANGA2 -AZAM O KWAHIYO SIMBA KAFUNGWA 5-1.AU SIO.:spy::A S cry: