Zimeongezwa bila idhini ya rais wa jamhuri :lol:
Simjui mmiliki wa Dowans!! chezea JK wewe, mtoto wa mjini yule nyinyi mnamchukulia kwamba ni Mkwerre!!Yes we are! Vinginevyo tukiulizwa "je posho za vikao vya wabunge zimeongezwa?" Tutajibu vipi?
likimshinda hata la posho itakua balaaRais wangu JMK:
-Nilidhani umeshindwa kuamua juu akina Lowasa, Chenge. Sababu zilikuwa wazi kuona hata kwa kipofu.
-Ukashindwa tena kuamua juu ya mafisadi wa EPA. Hili nalo lilikuwa wazi kwa wengi.
-KATIBA ya JMT inavurugwa kila uchao na akina Jussa. Uliapa kuilinda. Bado haujaamua.
-Hili dogo nalo la posho za Wabunge linakushinda! Haiwezekani Rais wangu. Kwani unagombea tena 2015?
Hivi ninyi mnataka JK mpaka awafanyeje ndio mumjuwe ni mtu wa namna gani!!?? yaani wewe na akili zako timamu unaamini kweli kwamba JK hajaidhinisha hizi posho mpya? poleni sana.Hapa kuna tatizo kubwa, rais hajaaprove, wanalipana... je kuna kupoteza kazi?? kurudisha posho?? kufuja mali ya umma? fraud??? au ndio sisi wajinga tuliwao?
likimshinda hata la posho itakua balaa
Hili wamelichukulia kama amuzi la ndani ya muhimili huru wa dola, Bunge. Rais alipewa taarifa tu. Kama ulimsikia Ndugai anasema kwenye mihimili mingine wanalipana sana na Bunge haliulizwi ingawa ndilo linalopitisha bajeti ya Serikali na Mahakama. Wazee wa nchi hii wameamua kunyang'anyana mbao litote. Tusubiri kuzama tu kama ile meli ya maraha ya Concordia.Hapa kuna tatizo kubwa, rais hajaaprove, wanalipana... je kuna kupoteza kazi?? kurudisha posho?? kufuja mali ya umma? fraud??? au ndio sisi wajinga tuliwao?
Yes we are! Vinginevyo tukiulizwa "je posho za vikao vya wabunge zimeongezwa?" Tutajibu vipi?