Yaani hii nchi inavyoendeshwa vituko vitupu.
A very elaborate answer to mkandara et al.....Hili la madakatari linaonekana kutukera zaidi ya mengine pengine ni kwasababu kazi yao inagusa maisha yetu moja kwa moja.
Kumekuwa na kauli kama za 'kukosa uzalendo', kazi ya wito n.k.
Kwa vile tunaogopa kukosa huduma zao na kupoteza maisha basi lawama ni juu ya kukosa uzalendo na kazi ya wito.
Nimeuliza maswali haya na wale wanaopinga mgomo wa madaktari hawalijibu. Hivi uzalendo unaanzia kwa nani na unaishia kwa nani.
Pili, hivi kazi ya udaktari haiuruhusu mtu kuwa na maisha ni mpaka akanyagwe kichwani kwa 'kosa' la kuwa mtaalam muhimu sana.
Ninavyofahamu, uzalendo ni suala la kila mtu. Wabunge ambao wanatembea juu ya zulia lenye bendera ya taifa na kula sehemu kubwa ya keki ya taifa ndio wangetuongoza katka uzalendo.
Wabunge si wataalam na yoyote yule mwenye mdomo anaweza kuwa mbunge, lakini si kila mtu aweza kuwa mwalimu au daktari. Uwepo wa wabunge ni heshima ya uzalendo wanaopewa na jamii ndiyo maana hakuna qualification.
Kama mbunge anayepata ( 130,000 kwa sasa) bado anataka apewe 330,000 KWA SIKU kwasababu maisha ni magumu hatuoni hili tunaona 'stupidity' ya yule anayeuliza kwanini wagonjwa walale chini basi we're real stupid.
Kama hatuoni kuwa mbunge anapaswa kuwa mzalendo bali tunaona madai ya masilahi kama usaliti, we're real stupid
Endapo hatuoni mil 64 kwa siku kwa posho za wabunge tu zingeweza kununua vitanda katika wodi moja basi we're stupid.
Hivi kwanini ukisema sijatosheka ionekane ni ukosefu wa uzalendo, lakini yule aliyekula na kusaza na sasa anatupa jalalani aonekana shujaa!!
Off topic: Comment number 55 imetumwatumwa na Bakuza kwa kutumia avatar yangu. Nakanusha ya kuwa hayo si maoni yangu
Mkuu nadhani bado kabisa hujanielewa na hutanielewa kwa sababu unafikiria Kikugandanyika - Na ndio maana napingana na dhana, itifaki za asili ya utumwa wa mtanzania kufikiria kwamba fedha ndio msingi wa maendeleo. Kudai imekuwa kudai fedha badala ya kudai haki na freedom ambayo ndio tangulizi..Unaishi nchi gani ndugu yangu!! wanyonge wa nchi hii unaowatetea ni bahati mbaya sana hawajui haki zao otherwise wangekuwepo wooote leo barabarani kwa yanafofanywa na watawala wa nchi hii......believe me.....sasa hivi imebaki kila mtu kuanza kuitafuta haki yake kwa nafasi yake......when your basic employment rights are not met by the employer(despite persistent requests)kinachobaki ni strikes tu...there is no point for morality here....kwani madaktari wao malaika wanaoishi mbinguni??madaktari ni employees wenye madai ya msingi yasiyosikilizwa na waajiri....Mbona huwazungumzii wabunge wanaopokea 200,000 na wanakaa kimya...wakati hao ndio tungetegemea wawe wa kwanza kuwazungumzia raia maskini waliowapa kura??........unawalaumu madaktari bure kwani wao robots!!......ndugu yangu..udaktari ni fani ambayo inadharauliwa sana na watawala hapa tz(just do a research on how doctors are treated in other countries in africa alafu linganisha na tz).My brother...of all the people you should throw stones at are your pathetic Government and not the doctors who are just fighting for their rights....just like any other employees who know their unsatisfied rights.....