commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
wananchi na wana JF kwa ujumla
Kuna mechi muhimu sana inaendelea katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam na mpaka sasa yanga iko mbele kwa bao moja bila.hii ni mechi ya kutafuta klabu bingwa afrika.
Cha ajabu kituo chetu cha television ya walipa kodi tanzania,TBC wao wanaonyesha vipindi vya bongofleva, je haya ni matumizi halali ya chombo hiki cha umma?
Wenzao wa KBC wa jirani zetu kenya wao timu ya ulinzi kenya iko uwanjani ikimenyana na karuturi na wanaonyesha LIVE kupitia super sport.
Nina imani ingekuwa ni tukio la ccm basi tungeonyeshwa live.sasa kwa mtindo huu ndoto za taifa hili kusonga mbele kisoka zitatimia?????
Kuna mechi muhimu sana inaendelea katika uwanja wa taifa jijini dar es salaam na mpaka sasa yanga iko mbele kwa bao moja bila.hii ni mechi ya kutafuta klabu bingwa afrika.
Cha ajabu kituo chetu cha television ya walipa kodi tanzania,TBC wao wanaonyesha vipindi vya bongofleva, je haya ni matumizi halali ya chombo hiki cha umma?
Wenzao wa KBC wa jirani zetu kenya wao timu ya ulinzi kenya iko uwanjani ikimenyana na karuturi na wanaonyesha LIVE kupitia super sport.
Nina imani ingekuwa ni tukio la ccm basi tungeonyeshwa live.sasa kwa mtindo huu ndoto za taifa hili kusonga mbele kisoka zitatimia?????