Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Duh! 4G imekosa mnaraDk 40 1_1
Duh! 4G imekosa mnaraDk 40 1_1
Umeisha?Yanga nao 0 - 0
Half timeDuh! 4G imekosa mnara
Umeisha?
Bado ndio kwanza dakika ya 58Umeisha?
Msimu wa Simba kushuka darajamsimu huu wa SIMBA..sibishi
Uko sahihi kabisa.kuchukua kombe..yanga itashinda game za uwanja wa taifa..ila huko mkoani mtashinda kwa ugumu..leo mnadrooo
Simba game 5 za kwanza anaanza nyumbani,while Yanga mechi 5 anaanza ugeninikuchukua kombe..yanga itashinda game za uwanja wa taifa..ila huko mkoani mtashinda kwa ugumu..leo mnadrooo
Inaonekana wewe ni mgeni wa soka la Tanzania.Yanga huwa anapata tabu kwa ugenini kwa Ndanda,Azam,Mtibwa na zile timu za Tanga (msimu huu zimeshuka daraja).Wengine waliobaki wote vibonde kwa YangaYanga walaini laini mno..cio timu ya ushindi kwa game ngumu
.
ndio maana mashindano ya kimataifa tunapigwa..Mimi hapa tanzania sina timu..sitaki kufa presha..sitaki bora liende mimi...
Nikae tu na real madrid yangu bas
Hawa ndanda kila siku ni wasumbufu kwa Yanga kwa kweliInaonekana wewe ni mgeni wa soka la Tanzania.Yanga huwa anapata tabu kwa ugenini kwa Ndanda,Azam,Mtibwa na zile timu za Tanga (msimu huu zimeshuka daraja).Wengine waliobaki wote vibonde kwa Yanga
na ndandanasikia leo ndo mna ile mechi yenu ya kimataifa, hivi mnacheza na nani vile?