Yanga imekua timu ya kwanza kufunga idadi ya goli 4 na Belouizdad kuwa timu ya kwanza kufungwa goli 4 katika hatua ya makundi kwa msimu huu katika CAF Champions league.
Hongera Yanga kwa rekodi hii. Kwa kifupi, hakuna timu iliyowahi kufunga goli nne katika mechi moja katika hatua ya makundi hadi Yanga ilipofanya hivyo dhidi ya waarabu.
Lakini, kwa upande wa Waarabu, imekua timu ya kwanza kwa kufungwa goli 4 katika hatua hii ya makundi ya finali ya klabu bingwa Afrika msimu huu.
Hongera Yanga kwa rekodi hii. Kwa kifupi, hakuna timu iliyowahi kufunga goli nne katika mechi moja katika hatua ya makundi hadi Yanga ilipofanya hivyo dhidi ya waarabu.
Lakini, kwa upande wa Waarabu, imekua timu ya kwanza kwa kufungwa goli 4 katika hatua hii ya makundi ya finali ya klabu bingwa Afrika msimu huu.