mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Karibu!
Katika uzi huu tujadili yanayojiri moja kwa moja ziara za Muenezi Taifa Ndugu Paul Makonda. Tuanze na Makambako alipokuwepo siku ya jana 09 /02/2024.
HakikaaHakika Chama kimepata jembe katika wakati sahihi
CDE Paul C. Makonda ndio nembo ya Chama kwa Sasa.
Yaani na mm nimeshangaa aiseeNachofurahia kamfunika nchimbi. Hivyo kumfanya irrelevant kisiasa.
Na jembe ili liwe jembe kamili lazima likongomekwe mpini kwanza.Hakika Chama kimepata jembe katika wakati sahihi
CDE Paul C. Makonda ndio nembo ya Chama kwa Sasa.