Ndugu Comrade Paul Christian Makonda karibu Kanda pendwa ya Ziwa ujionee ilani ya Chama inavyotekelezwa Kwa vitendo. 2024/2025 Ushindi ni lazima.
---
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Paul Christian Makonda atakuwa na ziara mahususi mkoa kwa mkoa kuanzia tarehe 9 hadi 14 Novemba 2023.
Mikoa inayoletewa salamu za upendo kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Dkt. Samia Suluhu Hassan ni pamoja na Kagera, Geita, Mwanza, Simiyu na Mara.
Makonda atatembelea pia kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na Dkt. John Pombe Magufuli.
---
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Paul Christian Makonda atakuwa na ziara mahususi mkoa kwa mkoa kuanzia tarehe 9 hadi 14 Novemba 2023.
Mikoa inayoletewa salamu za upendo kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Dkt. Samia Suluhu Hassan ni pamoja na Kagera, Geita, Mwanza, Simiyu na Mara.
Makonda atatembelea pia kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pamoja na Dkt. John Pombe Magufuli.