Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
Mkuu Mpemba Mbishi=Mji Mkongwe=Kadogoo= Malaria Suguasante asante asante sana
MPEMBA MBISHI ASEME SASA
Mkuu Mpemba Mbishi=Mji Mkongwe=Kadogoo= Malaria Suguasante asante asante sana
MPEMBA MBISHI ASEME SASA
sio Kila mchezaji anakwenda kufunga, kazi ya golikipa ni kulinda bao. Chadema kaeni Arusha na Moshi ya Unguja waachie wenyewe
Tushakufahamu.....Hadi Malaria ipone mwaka huuduhu....
Lakini si afadhali wamekwenda waambie CUF waende Arusha tuone.
duhu. Yaani idadi kubwa ni viongozi kuliko wasikilizaji? Kama arusha na Moshi tungalishuhudia vionjo vya picha kila aina
Dada Josephine huyu Malaria Sugu tuachie sisi tumalizane nae, asikupotezee mudabado ujafanya research ya kutosha.Hapo tulipoanzia ni ushindi mkubwa sana.........
- Uzini ni jimbo lililoko kijijini.
- Pili uwingi wa watu wa Uzini ndio hao wanaoonekana.kutokana na popolation iliyopo.
sio kiasi hicho. kama idadi ya viongozi wa Chadema ni kubwa kuliko wasikilizaji ni dalili kwamba mfunge virago na kuelekea kuunga MKono madaktari
idadi kamili ya watu wa uzini ni 20. kama ni hivyo basi ni wazi chadema ishanyakuwa ushindi wa Kishindo. lkn naona viongozi hapo ni wengi kuliko hata wasilizajibado ujafanya research ya kutosha.Hapo tulipoanzia ni ushindi mkubwa sana.........
- Uzini ni jimbo lililoko kijijini.
- Pili uwingi wa watu wa Uzini ndio hao wanaoonekana.kutokana na popolation iliyopo.
kwenda sio kitu cha msingi, cha msingi kama uwanja unakuwa na viongozi wengi kuliko wasilizaji unategemea nini?
Wakuu wanaJF, nitawaweka picha zingine nyingi zaidi baadae. Hapa nilipo pamoja na net kuwa very slow, lakini pia wananiambia wanataka kufunga. Hakuna kuongeza muda zaidi. Nimefanikiwa kuweka hizi na kujibu hoja za watu kadhaa katika ile thread nyingine. Asanteni. Mpaka hapo baadae. Pia nitakuja kuwapatia caption ya picha hizo wakati huo wakuu.
bado ujafanya research ya kutosha.Hapo tulipoanzia ni ushindi mkubwa sana.........
- Uzini ni jimbo lililoko kijijini.
- Pili uwingi wa watu wa Uzini ndio hao wanaoonekana.kutokana na popolation iliyopo.
Dada Josephine huyu Malaria Sugu tuachie sisi tumalizane nae, asikupotezee muda
kwa vitongoji vya zanzibar cdm imepata umati mkubwa
Dada Josephine huyu Malaria Sugu tuachie sisi tumalizane nae, asikupotezee muda
kumbe slaa, ni shemeji yako mkuu? Hongera sana ndio maana unapambana sana.