Yanayoendelea Uzini, Kampeni za CHADEMA-Picha

UCHAGUZI MKUU 2010 UZINI: AFP 14=0.2%, CCM
7158=89.9%, CUF 731,
JAHAZI 29=0.3%, NCCR-
MAGEUZI 7=0.1, NRA
8=0.1%, TADEA 12=0.2% BogSpot.com


Acha Uongo,Angalia matokeo hapo kwenye link http://www.nec.go.tz/index.php?modu...=12&district=77&const=260&ward=&button=Search






Help | Disclaimer | Privacy | Site Feedback
Copyrights ©2008, The United Republic of Tanzania, National electoral Commission All Rights Reserved
Designed and published by DataVision International (T) Ltd​


Help | Disclaimer | Privacy | Site Feedback
Copyrights ©2008, The United Republic of Tanzania, National electoral Commission All Rights Reserved
Designed and published by DataVision International (T) Ltd​
 
Magwanda mkipata kiti cha Uzini, najifuta uanachama wa CCM na sitowatetea tena, lakini sijiungi na magwanda wala chama kingine chochote, naachana kabisa na unazi wa siasa za kijinga. Na ntaihama Tanzania kwa mara nyingine, maana itakuwa si nchi tena hii. Magwanda hawa magwanda? Unguja? Duhhhh! labda akiwa Zitto ndio Mwenyekiti.

P W Botha akuwaza hata mara moja kwamba mwafrika mweusi angepata Urais akiwa angali hai..
 
Hampati hata robo ya kura wacha kuchukuwa jimbo. Naongeza ofa, mkipata nusu tu ya kura nna-achana na CCM.

We kuhamia chadema si mtaji hata kidogo. Na ujue mtu kupata nusu ya kura siku zote ameshinda uchaguzi. Kama nec wamekili kuna majimbo tulishinda zenji wewe na nec nani ana maamuzi
 
Acha Uongo,Angalia matokeo hapo kwenye link The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage






Help | Disclaimer | Privacy | Site Feedback
Copyrights ©2008, The United Republic of Tanzania, National electoral Commission All Rights Reserved
Designed and published by DataVision International (T) Ltd​


Help | Disclaimer | Privacy | Site Feedback
Copyrights ©2008, The United Republic of Tanzania, National electoral Commission All Rights Reserved
Designed and published by DataVision International (T) Ltd​

Na wewe umeweka uwongo vile vile! Mimi nimeweka kura za Uraisi na wewe umeweka za Ubunge! Uchaguzi unaofanyika ni wa Uwakilishi, ngoma droo!
 
Back
Top Bottom