ChrisMsofe
Senior Member
- Nov 22, 2013
- 164
- 84
Hii yote ni watu kujitafutia ulaji sizani kama hata zingetumika zaidi ya mil 300 kwenye ukarabati hii naona ni muendelezo wa serikali yetu kutuonyesha kuwa haiko makini na matumizi ya kodi ya wananchi maikini na walala hoi.. Ngoja tu mda wao uishe mana Tumechoka na wizi wao kilasiku utasikia jipya mara leo hili mara kesho lile Dah....Tumechoka wa Tanzania