Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,401
No way,kwa mlio lelewa kwenye familia za kizungu sawa!
Ila mimi niliye lelewa familia za mlo mmoja tena na mama peke yake,kazi yenyewe amefanya u-house gal,ukondakta full kudhalilishwa afu leo mke wangu awe na maana kuliko mama?
Nihukumiwe kwa hilo,ila mke ntapata mwingine na sio mzazi alo nipigania toka navaa nguo moja mwaka mzima hadi leo nilipo!
Uzungu huu ndo unafanya mnaoa wake zenu wana waambia wazazi kitu cha mwisho,tuangalie maisha yetu mnakubali na kuwatosa wazazi wakiwa na shida,but for me......never,my mama is every thing to me!
sure speaker... FAMILY ALWAYS COMES 1ST!!... kama wanamatatizo ajaraibu njia wa ku settle but. usithubutu kumtukana au kumnunia mama kisa mke...