Heshima zenu Wakuu,
Kimsingi kuna mwanamke ninadate nae miaka 3 sasa tumeish maisha mengi na hapa katikati tumeachana mara kadhaa na kurudiana.
Kiukwel yeye anaonesha kunipenda na mimi pia nampenda sana tu ila kuna red flags hivi ambazo nimeziona sasa naona kabisa nikimuweka ndani zitanishinda kuvumilia.
Moja wapo ni uvivu, matumizi mabaya ya fedha, kiburi na mtu wa kutengeneza hoja akikosea kifup sio mwepesi wa excuse.
Nimejarbu mara kadhaa kumuacha bila mafankio akirudi kuniomba msamaha ananizdi nguvu najikuta nimerudi na muda unazidi kwenda na nafikiri kwa age yangu sasa nahitaji kuwa na serious relationship ili after miaka 2 niweze kuoa (SIO KUFUNGA NDOA, napenda nieleweke hapa).
Mara zote nimejaribu kumuacha lkn nmeshindwa kumove akija tunarudiana na pia namuonea huruma kumuacha, nikichek muda tuliodate, fedha nilizowekeza, marafki zake, baadhi ya ndugu zake napata huruma lakini ni mwanamke ambae naona siwezi fanya naye future.
Kwa maneno hayo Machache wakuu naomba msaada wa mbinu ya kujitenga na huyu binti mapema bila maumivu meng au nifanye nn ili aniache yeye?
(labda sitopata ile guilty/hatia moyon) mana naona muda unazd kwenda labda namchelewesha kuolewa ana 25 mm nna 27.
Kwa upande mwengne mimi pia najichelewesha kupata mtu wa kusettle nae kwa muda tutengeneze bond kabla ya kuish pamoja
Kwa unyenyekevu mkubwa, naomba kuwasilisha
Ninyi n watu wema.
Kimsingi kuna mwanamke ninadate nae miaka 3 sasa tumeish maisha mengi na hapa katikati tumeachana mara kadhaa na kurudiana.
Kiukwel yeye anaonesha kunipenda na mimi pia nampenda sana tu ila kuna red flags hivi ambazo nimeziona sasa naona kabisa nikimuweka ndani zitanishinda kuvumilia.
Moja wapo ni uvivu, matumizi mabaya ya fedha, kiburi na mtu wa kutengeneza hoja akikosea kifup sio mwepesi wa excuse.
Nimejarbu mara kadhaa kumuacha bila mafankio akirudi kuniomba msamaha ananizdi nguvu najikuta nimerudi na muda unazidi kwenda na nafikiri kwa age yangu sasa nahitaji kuwa na serious relationship ili after miaka 2 niweze kuoa (SIO KUFUNGA NDOA, napenda nieleweke hapa).
Mara zote nimejaribu kumuacha lkn nmeshindwa kumove akija tunarudiana na pia namuonea huruma kumuacha, nikichek muda tuliodate, fedha nilizowekeza, marafki zake, baadhi ya ndugu zake napata huruma lakini ni mwanamke ambae naona siwezi fanya naye future.
Kwa maneno hayo Machache wakuu naomba msaada wa mbinu ya kujitenga na huyu binti mapema bila maumivu meng au nifanye nn ili aniache yeye?
(labda sitopata ile guilty/hatia moyon) mana naona muda unazd kwenda labda namchelewesha kuolewa ana 25 mm nna 27.
Kwa upande mwengne mimi pia najichelewesha kupata mtu wa kusettle nae kwa muda tutengeneze bond kabla ya kuish pamoja
Kwa unyenyekevu mkubwa, naomba kuwasilisha
Ninyi n watu wema.