Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,112
- 9,237
Ndugulile 190
Makonda 122
Kachwamba 39 wengine 48 jumla ya kura 399
Makonda 122
Kachwamba 39 wengine 48 jumla ya kura 399
Baba kasema anaweza mchagua hata alioshika nafasi ya tano mkuu usisahau akachaguliwa na kamat kuumakondaaaaaaa chaliiiiiiiiiiiiii
Safiiiii sanaNasari Chaliiiii
Tackle yule..Nasari Chaliiiii
wee acha tyuuuuuuuuihYaani atakua kafurahi sana
Paukwa pakawaBaba kasema anaweza mchagua hata alioshika nafasi ya tano mkuu usisahau akachaguliwa na kamat kuu
Eti ni jiji lakeNasikia Makonda ukimuangalia machoni anakufokea😆
Dadeq wahuni wamemuonyesha nani anai run Dsm. Unatoka Koromije kila mtu anakuona halafu unawaletea ngebe mabon town
Demu wake Sara Msafiri kamdanganya ha ha haHaya nimeona mwenyewe Clouds tv wanatangaza Kigamboni now Ndugulile mshindi kapata kura 190 , Makonda 122 shughuli imekwisha tuhamie Kawe sasa! Huwezi kushindana na baba yako Makonda wamekuingiza choo cha kike wote waliokushawishi ujinga!!
Mcheza sinema za uchi Gwajima nae apewe za uso hii Kawe sio sisiem ya wapumbavu ni sisiem makini na imara!
TupooooooooooooooohHata kama atachaguliwa kamati kuu kikubwa uku ameshindwa uko juu wanambeba tu
#kamatiyarohombaya#
Bashite kwishnehi hahaha. Hilo zee likalale sasa. Nchi imepunguza kilaza moja kwenye uongozi safi sana
Ni muda muafaka Bashite kurudi kuendelea na kazi yake ya upishi kwenye meli ya wagiriki.
Matokeo ndiyo hayo.
Nakunya hapa na kigamboniMakonda kashinda.