Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Pamoja na Mh. Sumaye kujiunga CHADEMA ili kuhalalisha ukazikazini wa CHADEMA, ila mpaka sasa mgombea wa CCM anaongoza Kwa zaidi ya 70%, stay tuned wadau
Hongereni sana naona hapa kazi tu.Lazima mkajipongeze si mchezo.Kushinda lema duh.Ndiyo sababu Ba Lubuva na Mkapa wako huko wakisheherekea ushindi wa CCM.