Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Lema kwa Arusha ni zaidi ya oxygen
We acha tu pamoja na mvua yenyewe sikutaka kubaki nyuma aise. Nilijua kura yangu moja inaumuhimu mkubwa sana
EL hatukuzwi tena?
Uchaguzi ungefanyika wkt wa vuguvugu la Lowassa Oktoba ile basi Lema angepata zaidi ya 90% ya kura zote!Monaban kafaidika sana na low turnout ya wapiga kura sababu ya kushindwa kwa LowassaKitakachompa kibri lema zaidi ni kuwa wanavyuo wengi wa arusha walk hi and in is via arusha na sasa wamesharipoti vyuoni. Kama pale IAA , SAUT na arusha univ. Matokeo yatakuwa Nouma!!
hehehe hongera zao....
....Mkuu watu walikula viapo !!!