kalale kule. Kwan lazma uanzishe thread?
Hiki ndicho kinachoendelea jangwani,kuna khanga moko leo!!CCM ovyo!
Usiseme watz sema wewe umechoka mr. Mng
Warioba poooole...jamaa(JK) kaanza kumfagilia Samia kuhusu uongozi wa BMK na kufanikisha upatikanaji wa katiba safi(anamaanisha katiba pendekezwa ambayo Warioba aliipinga kwa nguvu zoote)
MwanaDiwani kutakuwa na sehemu ya kubadilisha nguo na kuvaa sare za Chama hapo Jangwani? Nauliza hivyo maana huku kwetu ni shida,hatutaweza kutoka nyumbani tukiwa na sare za Chama,tutazomewa😩!
Magufuli hapendezei kuwa hata raisi