kama wa Simba trust?alimalizia hivi utajiri ambao umepatikana kwa njia zinazoeleweka
kama wa Simba trust?alimalizia hivi utajiri ambao umepatikana kwa njia zinazoeleweka
Mpumbavu sio tusi
Lofa sio tusi
Kuna vyama vinataka kuwakomboa watanzania- wapumbavu na malofa. Benjamin
Kuanzia yule mmachinga aliyeongea kwa niaba ya wenzake, Nape, Mwinyi, hadi Kikwete, mwanasaikolojia mzuri yeyote anaweza kuona jinsi ccm isivyojiamini mwaka huu. Mwinyi na Mkapa na sasa Kikwete mwenyewe kwa kweli wameongea kwa "kustrugle" yaani kama watu wanaoshindana na nguvu kubwa kupita uwezo wao. Ukawa wana kazi rahisi lakini lazima ifanyike kwa umakini mkubwa kwani ccm wapo tayari kufunga hata bao haramu "bao la mkono".
Mwenyewe sikuamini kumbe alimaanisha. Most of the time Ku attack watu tu. Eti Jk kashatukanwa sana kazoea.nimecheka sana ! unajua mwanzo walivyosema alitamka kwamba picha za lowasa ni za kutengeneza nilijua kasingiziwa lakini leo nimemsikia mwenyewe !
Makamanda wamepanic sana kuitwa wapumbavu na malofa Mkapa tena kasema mara mbili.
Mkapa bana uwa anatoa makavu tu.